Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Wanaume tunachepuka si kwamba hatuwapendi wake zetu ni vile tunatamani kuonja ladha tofauti.

Unakutana na pisi kali mkeo haoni ndani hata nusu hapo kimoyo moyo lazima ujisemee hapa mke wangu atanisamehe
😂😂😂😂😂Bora umejisemea ukwelii..Kuna mwenzenu mmoja aliwahi niambiaa nikichepuka nachepukaa na pisi kali zaidi ya mke wanguuu😅😅😅
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devils lie will penetrate, and if he try, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Ushafikiwa level ya kupapatukiwa au...? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤝🤝🤝
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Siku ukipigwa kitu kizito kichwani usisahau kuja na Uzi wa kuwapongeza wanaochepuka
 
Nimekua nayaona
emoji15.png
🤣🤣🤣 Daah.. huu mtihani hakuna aliyefudhu...
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Aisee.. sawaa
 
Back
Top Bottom