Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Wanaume tunachepuka si kwamba hatuwapendi wake zetu ni vile tunatamani kuonja ladha tofauti.

Unakutana na pisi kali mkeo haoni ndani hata nusu hapo kimoyo moyo lazima ujisemee hapa mke wangu atanisamehe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bora umejisemea ukwelii..Kuna mwenzenu mmoja aliwahi niambiaa nikichepuka nachepukaa na pisi kali zaidi ya mke wanguuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ushafikiwa level ya kupapatukiwa au...? 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀝🀝🀝
 
Siku ukipigwa kitu kizito kichwani usisahau kuja na Uzi wa kuwapongeza wanaochepuka
 
Aisee.. sawaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…