Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

Nyie bebikeni tu si ndo kero yao kubwa mpk waache kuwa wanacomment kwenye nyuzi zenu mimi nipo ntawapamba na kigelegele cha maana
 
Ukiwa na akili NA makalioni ,lazima ujishuhulishe na ubize usokua nafaida.

Naivo ndo wanavyofanya.
 
Nyie bebikeni tu si ndo kero yao kubwa mpk waache kuwa wanacomment kwenye nyuzi zenu mimi nipo ntawapamba na kigelegele cha maana
Umeonaaaa watuache tubebike kwa raha zetu watu wa nataka kujutia umiliki wa jf kwamba mazuri yote yao wakifanya wenzao makosa watuache tu ikiwachoma wapite kama hamna kilochotokea wapite kimya kimya
 
Umeonaaaa watuache tubebike kwa raha zetu watu wa nataka kujutia umiliki wa jf kwamba mazuri yote yao wakifanya wenzao makosa watuache tu ikiwachoma wapite kama hamna kilochotokea wapite kimya kimya
Ikiwapa tumbo uharo wakaharishe na matibabu hatuwachangiii
 

Tulia ww usitake kulazimisha watu waamini vitu unavyovitaka ww kila mtu ataamini vile roho yake itakavyo sasa kama nyie mnaanzisha uzi mnataka watu watoe maoni mnayoyataka mtasubiri sana kila mtu na akili yake hapa
 
Tulia ww usitake kulazimisha watu waamini vitu unavyovitaka ww kila mtu ataamini vile roho yake itakavyo sasa kama nyie mnaanzisha uzi mnataka watu watoe maoni mnayoyataka mtasubiri sana kila mtu na akili yake hapa
Bila shaka ,hamna hoja yoyote ITAKAYOWEZA KUKUBADILISHIA UHALALI WA WAZAZI ...SINDIO???.

KAMA NDIO ,,TULIZA MAKALIO YAKO CHINI YAPATE JOTO .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…