Penzi ndani ya basi

Kwani ungemalizia kwakusema ..... baada ya mambo yote ndani ya basi tulifika mwanza usiku mzito sana ikabidi nichukue room na kabla ya kulala nili vuta ndumu kisha nikanza kumwaga sumu ...
Sikufanikiwa mkuu, na sikuonana naye tena kwa sababu hakukuwa na mawasiliano.
 
Kumbe age imeenda hvyo
 
We mzee bure kabisa,unasafiri na mtu from Ar to Mz barabara vumbi unashindwa kupiga? Wanao wasije rithi huo ujinga kwa kweli!!!
 
Bado unamuita binti tu! Au umezeeka wewe tu yeye kabaki palepale
 
Kabisa iliwahi kunikuta nilikaa kwenye siti na binti mmoja kutoka moshi, ilikua mwaka 1994 , yeye akienda singida mimi mwanza, ilibidi nishuke kwanza nilale singida kama kesho nikapanda lori kuelekea mwanza na nikakuta wamefanya mazishi shetani ananguvu sana , popote alipo P namkumbuka sana
 
Ukajikuta umeongeza gharama zisizotarajiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…