Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Sikufanikiwa mkuu, na sikuonana naye tena kwa sababu hakukuwa na mawasiliano.Kwani ungemalizia kwakusema ..... baada ya mambo yote ndani ya basi tulifika mwanza usiku mzito sana ikabidi nichukue room na kabla ya kulala nili vuta ndumu kisha nikanza kumwaga sumu ...
Kumbe age imeenda hvyoImepita miaka mingi kidogo, kipindi hicho nikiwa bado kijana machachari wa totoz; ila kwa uzee wangu huu wa miaka 77 inabaki kuwa tu stori.
Nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kwenda Mwanza kwa basi, ambapo nilibahatika kukaa na binti mrembo ambaye alikuwa sio muongeaji sana; ila kutokana na urefu wa safari, tukajikuta tunazungumza mambo mengi ya hapa na pale.
Baadaye stori za muhimu zikaisha, shetani akaingilia kati, tukajikuta tunaongelea mambo ya mahusiano, kumtazama mrembo machoni, nikamuona anaanza kurembua rembua; hapo mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio sana.
Miaka hiyo bara bara ilikuwa ni ya vumbi, kwa hiyo ilitulazimu kuingia mwanza usiku mkali; ila tukiwa barabarani na giza, nilijikuta naendelea kuchombeza; mara paaa mrembo kaingia kingi, nikajikuta namshika hapa na pale; mara naye akaanza kutoa ushirikiano.
Sijui nilipata ujasiri wa namna gani, ila shetani ana nguvu sana; nikajikuta mkono napeleka kwenye ikulu yake, bila ata kuogopa kama nipo ndani ya basi, mara mrembo akaanza kuhema kwa sauti; waliokaa nyuma yetu wakasimama wakaanza kupiga chapo, hapo ndipo niliposhtuka na kutoa mkono haraka, nikajifanya nimesinzia.
Ila kwa ujumla niliona aibu sana.
Kama huyu binti yumo humu na anakumbukia hilo tukio; nakuomba tuwasiliane haraka sana ili uweze kutunukiwa zawadi.
Hujui wazee ni vijana wa zamani?Tuna wazee wa ovyo sana..usikute hapo una wajukuu kabisa, cjui wanajifunza nin kama babu yao ana tabia kama hizi!
Tukiwa mtandaoni hatufi haraka, muda wote akili inafanya kazi; jichanganye sasa uende ukalime, israeli anakuchukua harakaKumbe age imeenda hvyo
Hujui wazee ni vijana wa zamani?
Ujana una mambo mengi; unaweza kuwa kibaka ujanani, mwisho wa siku ukaja kuwa kiongozi wa imani.Dah! Kweli mkuu hata wahun huzeeka
ha ha haKumbe wewe ni babu mkuu kabisa 😄
We mzee bure kabisa,unasafiri na mtu from Ar to Mz barabara vumbi unashindwa kupiga? Wanao wasije rithi huo ujinga kwa kweli!!!Imepita miaka mingi kidogo, kipindi hicho nikiwa bado kijana machachari wa totoz; ila kwa uzee wangu huu wa miaka 77 inabaki kuwa tu stori.
Nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kwenda Mwanza kwa basi, ambapo nilibahatika kukaa na binti mrembo ambaye alikuwa sio muongeaji sana; ila kutokana na urefu wa safari, tukajikuta tunazungumza mambo mengi ya hapa na pale.
Baadaye stori za muhimu zikaisha, shetani akaingilia kati, tukajikuta tunaongelea mambo ya mahusiano, kumtazama mrembo machoni, nikamuona anaanza kurembua rembua; hapo mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio sana.
Miaka hiyo barabara ilikuwa ni ya vumbi, kwahiyo ilitulazimu kuingia Mwanza usiku mkali; ila tukiwa barabarani na giza, nilijikuta naendelea kuchombeza; mara paaa mrembo kaingia kingi, nikajikuta namshika hapa na pale; mara naye akaanza kutoa ushirikiano.
Sijui nilipata ujasiri wa namna gani, ila shetani ana nguvu sana; nikajikuta mkono napeleka kwenye ikulu yake, bila hata kuogopa kama nipo ndani ya basi, mara mrembo akaanza kuhema kwa sauti; waliokaa nyuma yetu wakasimama wakaanza kupiga chapo, hapo ndipo niliposhtuka na kutoa mkono haraka, nikajifanya nimesinzia.
Ila kwa ujumla niliona aibu sana.
Kama huyu binti yumo humu na anakumbukia hilo tukio; nakuomba tuwasiliane haraka sana ili uweze kutunukiwa zawadi.
Bado unamuita binti tu! Au umezeeka wewe tu yeye kabaki palepaleImepita miaka mingi kidogo, kipindi hicho nikiwa bado kijana machachari wa totoz; ila kwa uzee wangu huu wa miaka 77 inabaki kuwa tu stori.
Nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kwenda Mwanza kwa basi, ambapo nilibahatika kukaa na binti mrembo ambaye alikuwa sio muongeaji sana; ila kutokana na urefu wa safari, tukajikuta tunazungumza mambo mengi ya hapa na pale.
Baadaye stori za muhimu zikaisha, shetani akaingilia kati, tukajikuta tunaongelea mambo ya mahusiano, kumtazama mrembo machoni, nikamuona anaanza kurembua rembua; hapo mapigo ya moyo yalianza kwenda mbio sana.
Miaka hiyo barabara ilikuwa ni ya vumbi, kwahiyo ilitulazimu kuingia Mwanza usiku mkali; ila tukiwa barabarani na giza, nilijikuta naendelea kuchombeza; mara paaa mrembo kaingia kingi, nikajikuta namshika hapa na pale; mara naye akaanza kutoa ushirikiano.
Sijui nilipata ujasiri wa namna gani, ila shetani ana nguvu sana; nikajikuta mkono napeleka kwenye ikulu yake, bila hata kuogopa kama nipo ndani ya basi, mara mrembo akaanza kuhema kwa sauti; waliokaa nyuma yetu wakasimama wakaanza kupiga chabo, hapo ndipo niliposhtuka na kutoa mkono haraka, nikajifanya nimesinzia.
Ila kwa ujumla niliona aibu sana.
Kama huyu binti yumo humu na anakumbukia hilo tukio; nakuomba tuwasiliane haraka sana ili uweze kutunukiwa zawadi.
Natamani hilo tukio lijirudie tena; kweli bahati haijirudii mara mbiliWe mzee bure kabisa,unasafiri na mtu from Ar to Mz barabara vumbi unashindwa kupiga? Wanao wasije rithi huo ujinga kwa kweli!!!
Kwa sababu tulikuwa rika moja, acha niendelee tu kumuita bintiBado unamuita binti tu! Au umezeeka wewe tu yeye kabaki palepale
Mzee shikamooha ha ha
Shikamoo ya nini?; mjini hulipi bill kwa shikamoo, kijana pambana piga kaziMzee shikamoo
nastahili kukupa salamu kabisa 77yrs
Najuaga wewe ni kijana banaTukiwa mtandaoni hatufi haraka, muda wote akili inafanya kazi; jichanganye sasa uende ukalime, israeli anakuchukua haraka
Ukajikuta umeongeza gharama zisizotarajiwaKabisa iliwahi kunikuta nilikaa kwenye siti na binti mmoja kutoka moshi, ilikua mwaka 1994 , yeye akienda singida mimi mwanza, ilibidi nishuke kwanza nilale singida kama kesho nikapanda lori kuelekea mwanza na nikakuta wamefanya mazishi shetani ananguvu sana , popote alipo P namkumbuka sana
Mzee kijana ambaye hataki kuzeeka harakaNajuaga wewe ni kijana bana
Acha uswahili mzee sasa shikamoo yangu hapa inahusika nini na kulipa bills? Au nikitoa shikamoo namaanisha sipambani/sipigi kazi?Shikamoo ya nini?; mjini hulipi bill kwa shikamoo, kijana pambana piga kazi