People Republic of Kenya Mathare north Constituency Nairobi County

I think am older than you!!!
Also richer but that is not the issue here lakini nimekupata mkuu
Hahaha older than you!
Richer than you!
Mpuuzi kweli!
Unataka nikuumbuwe wewe
Kijana umezaliwa 1990
Tulia Usifuate mkumbo Siasa Zitakupoteza
hayo unayo Shupalia hayata msaidia Mkenya kamwe, bali mnaenda kuwagawa wakenya na Taifa kwa ujumla
uchumi unaporomoka kisa upuuzi wenu !!
 
Sawa mrundi unanijua kweli kweli!!
 
Kenya acheni upuuzi, eti kugawa nchi hizo ni frustrations zilizo hasi. Kwani lazima wote wawe marais, mambo ya kijinga tu hayo mambo ya demokrasia ya kugawa nchi.
Katiba za afrika yapaswa ziwe kama UK mwenye wabunge wengi ndo anakuwa rais, katiba ziache kupigia mtu individual kura kuwa rais.
 
Sherehekea wakati watu wanauliwa. But one day the wind will change direction
Sisherehekei.
Ila nahuzunika watu wa jamii moja walivyobebwa akili na mtu mmoja, mpaka wako tayari kufa kwa sababu yake.
Binafsi mim siwezi bishana na polisi aliye na bunduki kwa sababu ya mwanasiasa. Ata awe nani.
 
Mkuu huwezi kujadili mambo yako bila kuingiza Tanzania. Hii mambo ya Tz huwa yanakuprove wrong kila siku. Tz can't be comparable to Kenya sisi tulishvuka mambo mengi sana ktk umoja was kitaifa ndiyo maana hata wachache wakileta mambo ya kutugawa au kutufarakanisha kwa namna yyte the nation stands one. Siku Rail"0" alipotangaza kujitoa ktk uchaguzi nililiona hili la kujitenga just the same day. Leaders like that who always wish to decide for citizens kuwa macho nao
Mkuu huwezi kujadili mambo yako bila kuingiza Tanzania. Hii mambo ya Tz huwa yanakuprove wrong kila siku. Tz can't be comparable to Kenya sisi tulishvuka mambo mengi sana ktk umoja was kitaifa ndiyo maana hata wachache wakileta mambo ya kutugawa au kutufarakanisha kwa namna yyte the nation stands one. Siku Rail"0" alipotangaza kujitoa ktk uchaguzi nililiona hili la kujitenga just the same day. Leaders like that who always wish to decide for citizens kuwa macho nao
 
Hii ndio ubaya ya kuelect kina kigeugeu to parliament wakati NASA ilikua inaelect Lawyers.
Still waiting to see how Siaya County will vote on 26..... No. Actually there won't be an Election on that day

I'd be happy if the governor or any politician owns the violence expected, so the law can take care of them individually.

Anyway, each constituency has hundreds of polling stations. You are chasing air thinking you can mobilize hooligans to stop voting in all those. By 7am, the constitional requirement will have been fulfilled in all counties. Everything else past that will be bonus.
 
Jomo Kenyatta took NYS to Luo Nyanza to help in clearing the forests/bushes in preparation for crop cultivation, however the people asked for Jembes which Kenyatta promised to deliver. However the same very people who asked for Jembes asked Kenyatta who was to cultivate the land on their behalf, Kenyatta got angry by the sheer laziness and entitlement of these people who do not want to till their land but want to participate in sharing the harvests.
Mk254 weka video au sound clip ya majibizano kati ya Mzee Kenyatta na Jaramogi if you have it please.

Ati Most Universities are in Central Kenya? Jkuat, Kimathi are the only public universities in Central the rest are PRIVATE.

Nairobi and Central Kenya are at close proximity. The colonial government tried to establish Machakos as the capital but it failed due to shortage or lack of adequate supplies such as food from the Akamba people but the moment they settled in Nairobi, the maasai fled while the Kikuyu being farmers spotted an opportunity to supply grains and meat.
The colonial govt took away the fertile Kikuyu lands for cultivation of cash crops and in the process laying the necessary infrastructure which after independence remained in the hands of Central People.

Maendeleo husababishwa na bidii ya watu binafsi kupitia kwa viongizi wao, mkiwachagua viongozi kupiga domo na siasa duni basi mjitayarishe kuvuna domo domo kwa mfano Nchini Tanzania with their socialist tendencies which is ailing the luo nyanza region.
 
What's the purpose of devolution if you still blame the government for underdevelopment?...... And stop that propaganda that central has more government projects than the rest
 
Sam, thanks for making ethnicity a topic of discussion coz upende usipende nchi yetu ina changamoto sio haba nayo. Afu ninachochukia zaidi ni ile attitude ya baadhi ya watu kuona wenzao kama binadamu robo kisa sio wa kabila lao. Those attitudes reflect in political discourse nani. Yaani kuna boss tribes and mboch tribes. Did you know i once kicked out a driver mwenye alijaribu kuniletea hizo mshene za ukabila ndani ya kazi whereby alikuwa anajaribu kuvuruga amani na matamshi na vitendo vya upuzi dhidi yangu. Yaani niliondoa mjamaa where he was standing bila kucheka. Ukabila ushindwe
 
Ngoja JPM avizie counties kadhaa hapo ili tuzingakue.
What an opportunity.
 
tupatane kwa debe my brother. Democracy is where Majority have their way while the minority their say kwa mfano Nchini jirani ya Tanzania where CCM inao wafuasi wengi kuliko CHADEMA na sijaona wafuasi wake wakizua vurugu na kuharibu Mali ya umma kwa kushindwa uchaguzi. Why can't you emulate our southern Neighbors? Wakikuyu pia ni Wakenya and they struggle like the rest of Kenyans.
 
Kenya will never be divided.the next president is ruto upto 2032 and raila would be dead then...after 2032 God knows
 
Wewe unakurupuka tu, hamna lolote ulijualo kuhusu Kenya. Eti Mzee Jomo Kenyatta Alishindwa kuunganisha wakenya? Je Jaramogi Oginga aliwaunganisha akina Nani?

Ushabiki wako ni wakipuzi na umejaa umbea wa vijiweni bila Facts zozote.
Wachana na Mambo ya Kenya hauwezani naye.
 
Better to die fighting for freedom, than be a prisoner all your life ~ Bob Marley.
 


SAsa mnataka kuchukua waluhya by force wakue nchi yenu ya nyanza kwa sababu wameunga mkono raila 2017 ? watakaposema pia wataka urais si mtasema hawawezi ongoza? kwanza hao ni majority kushinda nyie wajaluo afu kwao hawana shamba wengi wao wametegemea rift valley hakuna venye watakubali kuwa part of nyanza simply they want presidency when in really sense they will lose out greatly. Leo ni wazuri kwa kuwa wamewapa support wakati mtapita mnaanza kuwaita watchmen.
 
Aisee pamoja Sana bro wengine tumechoka kukaa kwenye hili liinchi mazee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…