uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Ushindani mdogo upi
Uliishuhidia leeds united kwenye ubora wake?
Umeisahau liverpool?
Newcastle?
Sam allardise?
Epl ni intensity league hakuna mechi rahisi
Uliishuhidia leeds united kwenye ubora wake?
Umeisahau liverpool?
Newcastle?
Sam allardise?
Epl ni intensity league hakuna mechi rahisi
Ferguson kwangu sio kocha bora.
- Wakati wake ushindani ulikuwa mdogo, alikuwa anapata challenge kutoka kwa Arsenal ya Wenger pekee.
- Alikuwa na uwezo mkubwa wa kiuchumi, Man Utd ilikuwa na uwezo wa kumsajili mchezaji yeyote mzuri inayomuona toka timu pinzani, kama Berbatov toka Spurz, na Rooney toka Everton, hivyo kuwapunguza nguvu washindani wake.
- Fitna na Uingereza wake, alikuwa ana influence mpaka kwa marefa, na chama chao cha mpira.