Kaangalie pesa aliyonunuliwa wan bissaka na Maguire.
Man utd wametumia pesa nyingi kwenye usajili kuliko pep, vipi mbona makocha wa utd hawajaipa mafanikio utd?
kwanini unakwepa hoja? Rudi kwenye hoja mchezaji aliesajiliwa kwa 70 m anakuwaje kuwa hajulikanwi? au ulikuwa humjui wewe tu?