Pep Guardiola anaenda kuleta swali tena kwa mashabiki wa mpira

Pep Guardiola anaenda kuleta swali tena kwa mashabiki wa mpira

Nitajie mchezaji pia wa man utd ambae ni chini ya pound milion 40 ? Ipo man utd , chelsea na hata arsenal recent!! Maguire kanunuliwa bei gani? Laporte stones bei gani ? Pogba bei gani na Gundogan bei gani? Pepe bei gani na bernado silva bei gani? Anthony bei gani na sancho bei gani?
Malacia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sasa huyu si ni sawa na sergio gomez tu! Hakuna timu isiyotoa hela kwasasa .
Pep anaonekana genius on how he approach the game, bernado silva anacheza left back na anaupiga mwingi tu, stones ametoka everton the way anavyocheza under pep ni tofauti kabisa na angecheza under coach yeyote yule. Pep is a genius !
Ake akanji na laporte wamekuja kama normal players wote hata rodri the way anavyocheza saivi ni tofautiii na alivyokuwa anacheza under simeone !!
 
Pep hakumkuta ronaldinho pale Barca, ronaldinho akiondoka mwaka huo ambao pep ndio alianza na Barca. Uwe mfatiliaji

Etoo amekaa na pep msimu mmoja tu, akaachana nae. Wengi walibeza pep kumuacha etoo, lakini alikua anajua nini anafanya.

Barca kabla ya pep ilikua na utawala wa Ronaldinho, Etoo na Deco. Lakini pep alivyofika alitengeneza wake Xavi, iniesta na Messi.

Pep pale Barca alipenda kutumia zaidi youngsters wa la masia, ndio maana unaona hata kwenye beki wa Kati alimtumia pique na kuachana na Marquez, kwenye kiungo wa chini alimuinua busquets na kuchana na Yaya toure

Pembeni alimuinua pedro

Kama hii hataelewa basi haina haja tena ya kumuelewesha!
Pep kafika katangaza kabisa gaucho, etoo na deco hawapo kwenye plan zake ila baadae akabaki etoo pep akasema ni kutokana na jitihada za kujituma za etoo ndo maana kabaki!
Pep kamchukua busquets toka barca b na pedro akamchukua keita lakini watu wanakuambia ni mbaguzi[emoji23]
Pep kaenda man city katangaza tena kuwa nasri, hart , clichy na sagna hawapo kwenye mpango wake .
Timu hii ya sasa kaunda yote yeye lakini mtu anakwambia hata akipewa hii man city anachukua mataji hajui kuwa hii man city imeundwa na pep mwenywe
 
Kama hii hataelewa basi haina haja tena ya kumuelewesha!
Pep kafika katangaza kabisa gaucho, etoo na deco hawapo kwenye plan zake ila baadae akabaki etoo pep akasema ni kutokana na jitihada za kujituma za etoo ndo maana kabaki!
Pep kamchukua busquets toka barca b na pedro akamchukua keita lakini watu wanakuambia ni mbaguzi[emoji23]
Pep kaenda man city katangaza tena kuwa nasri, hart , clichy na sagna hawapo kwenye mpango wake .
Timu hii ya sasa kaunda yote yeye lakini mtu anakwambia hata akipewa hii man city anachukua mataji hajui kuwa hii man city imeundwa na pep mwenywe
Bange tu
 
Mkuu bado Sir alex bado atakuwa top may be Pep the second one

Km uefa hata zidane amechukua tatu ndani ya miaka mitano huwezi kusema zidane alivyo bahatisha uefa zile ndio awe bora kuliko Pep kwasababu ya uefa

Sir Alex amehudumia kwenye era zote mbili old na modern football and he concered it all

Remember old football ya ulaya ilijaa rushwa pia zile trophy za madrid nyingi watu wanazi question

Kwenye kitabu cha fagason anamnukuu muasisi wa toto football john cruiffy

Ferguson hutashinda taji la ulaya km hutoi rushwa

Ferguson alijibu km ilinishinde lazima kutoa rushwa basi sitatoa


To me Sir Alex f ni best coach ever kwasababu alidevelop young players na few big signing

Pep is second
Ferguson kwangu sio kocha bora.

- Wakati wake ushindani ulikuwa mdogo, alikuwa anapata challenge kutoka kwa Arsenal ya Wenger pekee.

- Alikuwa na uwezo mkubwa wa kiuchumi, Man Utd ilikuwa na uwezo wa kumsajili mchezaji yeyote mzuri inayomuona toka timu pinzani, kama Berbatov toka Spurz, na Rooney toka Everton, hivyo kuwapunguza nguvu washindani wake.

- Fitna na Uingereza wake, alikuwa ana influence mpaka kwa marefa, na chama chao cha mpira.
 
5 ni rekodi inayoshikiliwa na Chelsea FC EPL.

6. Tayari Arsepimbi walishakuwa nayo EPL kitambo sana.

Hakuna kipya zaidi ya kuendelea kutumia mapesa tu

Tusichoshane, mpende wewe Kiparangoto wako si lazima tumpende wote ila Klopp ni bora mara 10 zaidi kuliko Pep, nimemaliza.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hamna aibu kabisa.
 
Pep hakumkuta ronaldinho pale Barca, ronaldinho akiondoka mwaka huo ambao pep ndio alianza na Barca. Uwe mfatiliaji

Etoo amekaa na pep msimu mmoja tu, akaachana nae. Wengi walibeza pep kumuacha etoo, lakini alikua anajua nini anafanya.

Barca kabla ya pep ilikua na utawala wa Ronaldinho, Etoo na Deco. Lakini pep alivyofika alitengeneza wake Xavi, iniesta na Messi.

Pep pale Barca alipenda kutumia zaidi youngsters wa la masia, ndio maana unaona hata kwenye beki wa Kati alimtumia pique na kuachana na Marquez, kwenye kiungo wa chini alimuinua busquets na kuchana na Yaya toure

Pembeni alimuinua pedro
Ahahaaaaah!
Kuna mtu nimeona amesema Eddie Howe ni kocha bora kumzidi Pep.
Mtu wa aina hii hakuna kitu utamuambia atakuelewa.
 
Mkuu bado Sir alex bado atakuwa top may be Pep the second one

Km uefa hata zidane amechukua tatu ndani ya miaka mitano huwezi kusema zidane alivyo bahatisha uefa zile ndio awe bora kuliko Pep kwasababu ya uefa

Sir Alex amehudumia kwenye era zote mbili old na modern football and he concered it all

Remember old football ya ulaya ilijaa rushwa pia zile trophy za madrid nyingi watu wanazi question

Kwenye kitabu cha fagason anamnukuu muasisi wa toto football john cruiffy

Ferguson hutashinda taji la ulaya km hutoi rushwa

Ferguson alijibu km ilinishinde lazima kutoa rushwa basi sitatoa


To me Sir Alex f ni best coach ever kwasababu alidevelop young players na few big signing

Pep is second
Hivi unamlinganishaje MTU aliyefundisha vilabu 3 tofauti kwa Nchi 3 tofauti na kumlinganisha na MTU aliyefundisha club mmoja tu tena ya Nchi mmoja.
Its madness
 
Back
Top Bottom