FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
It's business, kwanini zisiweze?? Kwahiyo unafikiri Napoli hawawezi?? Ronaldo mwenyewe na brand name, akija kwenye timu yako anakuja na fursa nyingi tu za biasharaLazima uangalia kwanza hizo team unazo zitaja zinaweza kulipa ada ya uhamisho ya pound ml.100,zinaweza mlipa 1.5 biltsh kwa weak,na huduma nyinginezo za kironaldo.