Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Uyo morinyo akae kimya TU mpira ushamshinda,yeye mbona pia kafundisha club kubwa zenye bajeti kubwa ila kimafanikio hamfikii pep hata nusu
Ficha ujinga bhas hv unamjua mourinho aka msema hovyo wewe, huyu alianza kubeba uefa akiwa bado kijana natimu ndogo ya fc porto uje umfananishe nahuyu anaetumia pesa tena kwenye matimu makubwa namiaka zaid ya 15 ana uefa mbil tena zote kapewa namessi
 
Hii point mbona kila mtu anaandika?? Yani inajibiwa ila bado watu wanaandika.
Yani wewe ni mtu wa mia7 kuja na point ileile
Badilisheni basi chaneli
 
Binafs morinyo nu conservative Sana,anafundisha mpira wa kizamani (too defensive) na hayuko flexible kubadilika kimbinu

Timu zote anazofundisha morinyo huwa hazishambulii KABISA,huambulia magoli kiduchu sana
Unaikumbuka ile Chelsea yakina maluda, mikel obi, drogba, lampard, essien hii ilifunga mabao nahadi leo record yao yamabao kwamsim mmoja haijavunjwa pale epl
 
Ndugu zangu Mimi sina Mengi Ya kuongea Ila Tarehe 10 Ya Mwezi wa 6 Inter Milan Watajua Kuipa Amani Dunia, Inter Watabonyeza Kitufe Kiitwacho " MWISHO WA KELELE ZA MBWEHA MJANE"...

Hao Man city A.k.a Mapasi Kumi hawatoamini Kitakachowakuta

Amani iwe Nanyi anayedaiwa ni Kocha bora wa muda wote huyo Kipara Hatoamini Pale atakapokuw anavishwa Medali ya mshndi wa pili yenye rangi kam ya Bati huku akipishana kidog na kombe La UEFA,

Na hapo ndipo Tutakaposhauri sasa UEFA waanze Kutengeneza kombe la mshnd wa Pili ili Man city nao Waweze kujufarij nalo maan kw muda mref wamekuw wakifka hatua hyo ila Kombe NO.

INTER MILAN BINGWA UEFA 2023, Anayebisha atasadiki maneno yangu Baada ya Usiku wa Tarehe 10 June
 
Kufungwa na Inter milan Haitoondoa maana yakuwa kocha bora still atabaki kuwa kocha bora na anaefundisha mpira wakuvutia
 
Wewe ndio mpuuzi huyo kocha wakat anakuja city akina Robert Mancini walishabeba sana vikombe vya epl nakina aguero, yaya toure, ishu yaman city ni uefa tu miaka yote saba hapo city hana uefa katumia mapesa kibao kununua wachezaj kitu ambacho angekua chelsea enz abramovic angeshafukuzwa kocha gan hana uefa nje yamessi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1783]. Umesahau Messi ,inesta na shavi ,Leo hayupo nao imegeukiwa pesa lakini mbinu hawatamki
Naukiwatoa hao pep hajawai kupata kombe lolote lauefa yan kifupi bila messi gardiola hapat uefa
 
Kufungwa na Inter milan Haitoondoa maana yakuwa kocha bora still atabaki kuwa kocha bora na anaefundisha mpira wakuvutia
kama kocha bora abebe UEFA basi mnayotupigia nayo kelele kutwa nzima humu JF, kuwafunga wale ma fatherhood Madrid mnajiona Mmefika sana ?? Sasa subirini kivumbi cha Inter kiwashukie Mtatafutan hiyo siku
 
Hana uwezo wa hivi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
kama kocha bora abebe UEFA basi mnayotupigia nayo kelele kutwa nzima humu JF, kuwafunga wale ma fatherhood Madrid mnajiona Mmefika sana ?? Sasa subirini kivumbi cha Inter kiwashukie Mtatafutan hiyo siku
Hiyo uefa akichukua itakuwa mala ya 3 kufanya ivyo kwenye carrier yake kuhusu kumfunga madrid sio big deal coz ameanza kumfunga Bayern robo fainali
 
Mbona alikuwa anabeba vikombe na wakina Lionel Messi watoto kutoka La masia au hujui

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Nilichoona wachangiaji wengi sio kama hawamkubali Pep ila wanaumizwa jinsi gani Pep alivyoset high standard kuchukua ubingwa 😃. Timu zao zinashindwa kupambana nae jino kwa jino na mbinu za mchawi wa mpira mtaalamu Josep "Pep" Guardiola Sala.

Ndugu zangu muombe tu huyu bwana abebe UEFA mwaka huu ili awaachie ligi yao na timu zingine zipate
upenyo wa kupumua maana kibano anachotoa ni kikali sana. Na asipochukua UEFA mwaka huu hasira zake zote anaenda kuvunja rekodi zpte za EPL.

Kitu kinachombakiza Guardiola Man City ni UEFA pekee anaka kuwaprove watu wrong akichukua tu sidhani kama atasalia kuifundisha City ataenda kutafuta changamoto mpya.
 
Kwahiyo tukimpa tot atabeba ubingwa?? Alaf pep hajatengeneza mchezaj yoyote,hao wote kawachukua wapo kwenye form zaoo
Morinho kamrengeneza nani?

Atengeneze yeye ni mwalimu wa academy?


Ulimjua phoden before pep?

Ulimjua busquets ?
Pedro

Alcantara

Ivi unajua ata Horjberg wa Spurs kaibuliwa na pep?
 
Sasa haya si maneno yako tu? Ambatanisha hapa valid statements toka kwenye official website source nikubaliane nawe, mbali na hapo ni porojo tupu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Moriminyoo kafundisha Manu miaka mingapi na alichukua URFA ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…