Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Ni kama scolari alivyoamua kumuacha romario WC ya 2002 na kumchukua dinho nchini kwake watu walisema sana ili mwisho wa siku kombe akalibeba
Kocha anatakiwa awe na misimamo yake

acha kukariri, Romario na Ronadinho walikuwa wanacheza position tofauti kabisa.
 
sasa hapo cha ajabu ni nini? kwani Fergie hakuwapa Man Utd mara 3 mfululizo? PSG ameshinda ngapo mfululizo france? Conte hakuwapa Juve 3 mfululizo? Zidane hakuipa madrid Champion league 3 mfululizo?
Sasa ulitaka afanye maana kila kocha unasema Hana jipya
 
Utalinganisha EPL. Na France league 1

Your very special stupid

tatizo liko wapi? kabla ya utawala wa PSG kila mwaka tulikuwa tunapata bingwa mpya France, wakati kabla ta utawala wa City palikuwa na utawala wa Man Utd England
 
Mbona wachezaji wenyewe walikuwa wa bei za kawaida tu.?
 
Ni kama scolari alivyoamua kumuacha romario WC ya 2002 na kumchukua dinho nchini kwake watu walisema sana ili mwisho wa siku kombe akalibeba
Kocha anatakiwa awe na misimamo yake
Baadhi ya Wabrazili waliandamana kumpinga lakini mzee Scolari akabaki na maamuzi magumu kama kocha lakini ya uhakika wakanyanyua WC
 
Huyo Mourinho kasajili kwapesa nyingi sana alipokua Madrid. Nenda kaangalie alipata nini

Graham Potter chelsea kasajili mwa trillion 1, nenda kaangalie kapata nini

Tatizo sio kusajili, Bali uwezo wa kocha pia huchangia. Pep hakusajili kwa pesa nyingi Barca ,Ila alipata mafanikio kwa kuwatumia wachezaji wengi wa hapo hapo. First eleven ya Barca pep alisajili wachezaji wawili tu David Villa na mascherano
 
Sijamponda, nimeongea uhalisia mkuu. Ni kweli ligi zote kuna giants ila pamoja na uwezo wake mkubwa, Pep budget yake pia sio ndogo, ili achukue UCL pale city, ametumia $$$ nyingi mno.
Kaangalie toka pep ameenda city katumia kiasi gani, alafu angalia na man utd wametumia kiasi gani. Ukimaliza njoo tujadili hapa

Pep ana jicho la kununua wachezaji wazuri kwa gharama ambayo sio kubwa sana, tofauti na timu zingine gharama kubwa alafu wanakua flop
Mfano man utd: Maguire, Sancho, lukaku, pogba,
 
Acha uongo. pep kabeba ucl akiwa Barca 2009, na akabeba club world cup mwaka huohuo 2009 dec

Kabeba tena ucl 2011 na mwaka huohuo dec akabeba fifa club world cup

Rijkaard kaondoka Barca 2008 ikiwa haina kombe lolote. Barca ya rijkaard ilijengwa na ronaldinho, deco, etoo. Pep alivyoongia akandoa hiyo, akaunda ya kwake
 
Kama yeye noma aende tot/man u

Man u anaweza kwenda,. Ila tot sio daraja lake. Ni sawa na useme leo hii mama samia awe mkuu wa wilaya.

Unasema kikosi Cha Barca ile hata mgunda akipewa anachukua ubingwa? Unajua baada ya pep kuondoka ni makocha wangapi walifukuzwa Barca? Pep alivyoondoka Barca, timu alipewa vilanova akaenda kupigwa 7 na Bayern huku Barca wakionekana wachomvu mno.
Labda umesahau
 
Pep hakuwahi kufukuzwa sehemu yoyote.

Msimu wa mwisho wa pep pale Spain ilikuwa 2011-2012, bingwa wa copa de la rey alikuwa ni Barcelona. Wewe hiyo ya bingwa Madrid umeitoa wapi wakati Madrid waliishia robo fainali Tena kwa kutolewa na hao hao barcelona

Unasema mou anamzidi pep kwenye knoctouts? Mbona sasa mou ndio kapigwa na pep mara nying?
 
Hapo unapingana na wanaosema anategemea wachezaji Bora na wenye majina

Kamuondoa ronaldinho, etoo, henry, yaya you're, deco. Alafu angalia aliowapandisha first eleven, iniesta, busquets, Pedro, Villa. Alafu pima je timu ilikua mbovu au nzuri zaidi

Pep sio kwamba alikua na bifu na hao, Bali huwa Kuna wachezaji hawaamini. Hata city alipofika alimuondoa Joe hart ambae alikua bora sana kwa wakati huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…