Unajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?Nuno Espirito Santo ndie kocha bora kuliko wote EPL.
Achana na Pep mpenda pesa. Kwa resources alizonazo hata wewe hapo ukiicoach City utapata mafanikio. Aende akaiiinue Newcastle with minimum budget ndio utamjua kama ni coach bora ama mpenda utajiri.
Klopp yupi huyu ambaye alitaka kuishusha dortmund daraja?Naweza sema Guadiola aka baba maria ni mzuri kiasi chake ila kwa Klopp akasome, arud vidudu.
Hyo hyo alie ipeleka fainali UEFA ..!Klopp yupi huyu ambaye alitaka kuishusha dortmund daraja?
Kiasi gani tuambie sisi hatukujui ila tunachojua wolves ni timu yanye bajet ndogo sana ya usajiriUnajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?
PortoTimu ndogo zipi?
Porto ni kubwaPorto
Ilinunuliwa na billionea wakichina wakiwa na lengo la kupanda ligi kuu ikamsign nuno santo kutoka porto... wakamsajili diogo jota kutoka atletico madrid ruben neves ambaye liverpool ilikuwa inamtaka, benik afobe ambaye akawa top score wa championshipKiasi gani tuambie sisi hatukujui ila tunachojua wolves ni timu yanye bajet ndogo sana ya usajiri
Ilinunuliwa na billionea wakichina wakiwa na lengo la kupanda ligi kuu ikamsign nuno santo kutoka porto... wakamsajili diogo jota kutoka atletico madrid ruben neves ambaye liverpool ilikuwa inamtaka, benik afobe ambaye akawa top score wa championship
Baada yakupanda wakasajili wachezaji wengine wakubwa
tutajie hicho kiasi cha pesa basiUnajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.Ah kweli nimejua wee huijui hii profession kabisa.....huyo nuno nae akiendelea na kzi yake nzuri ataenda kwenye timu yenye hela...je nae wakatio huo utasema kuwa nae ni mtu wa hela.
Hiyo ni nature ya industry...mzuri will always ascend and u always make ur mark na timu zenye low budget. Mourinho made is name na porto with sijui 20 percent ya budget ya man utd ndio mpaka anawatoa pale old trafford.
Ukiangalia na kufuatilia kazi ya pep mdio utaona kuwa huyu jamaa anajua na ontop of that ameongeza a new way to view tactics...hiyo tatctical insight and acumen ndio inamfanya kuwa kocha mzuri.
Yes it goes without saying kuwa u need quality players kuleta tactical revolution but u have to admire how he brings his ideas into life kwa kupitia hao wachezaji.
U cant implement novel tactical ideas with utopolo players ...hilo haliwezekani ata siku moja. U need quality players to come up na great teams.
Mwisho kabisa...usidharau profession za watu kwa kusema kuwa eti ata mie ningepewa barca ningefundisha....trust me managing players ambao wanalipwa more than u the boss sio kitu kirahisi...kuna skills ambazo lazima uwe nazo, motovating them and gettingbthem to buy into ur ideas ni kitu kigumu sana.
Go eastAh kweli nimejua wee huijui hii profession kabisa.....huyo nuno nae akiendelea na kzi yake nzuri ataenda kwenye timu yenye hela...je nae wakatio huo utasema kuwa nae ni mtu wa hela.
Hiyo ni nature ya industry...mzuri will always ascend and u always make ur mark na timu zenye low budget. Mourinho made is name na porto with sijui 20 percent ya budget ya man utd ndio mpaka anawatoa pale old trafford.
Ukiangalia na kufuatilia kazi ya pep mdio utaona kuwa huyu jamaa anajua na ontop of that ameongeza a new way to view tactics...hiyo tatctical insight and acumen ndio inamfanya kuwa kocha mzuri.
Yes it goes without saying kuwa u need quality players kuleta tactical revolution but u have to admire how he brings his ideas into life kwa kupitia hao wachezaji.
U cant implement novel tactical ideas with utopolo players ...hilo haliwezekani ata siku moja. U need quality players to come up na great teams.
Mwisho kabisa...usidharau profession za watu kwa kusema kuwa eti ata mie ningepewa barca ningefundisha....trust me managing players ambao wanalipwa more than u the boss sio kitu kirahisi...kuna skills ambazo lazima uwe nazo, motovating them and gettingbthem to buy into ur ideas ni kitu kigumu sana.
Go east
Go west
Pepsi is just a mediocre coach!
A pig is just a pig even when you put a lipstick on its lips
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.
Hata pale Barcelona, aliikuta timu imeshasukwa na Frank Rijkaard. Yeye akapata credit za kudandia basi. Baada ya matunda ya Rijkaard kuanza kufutika akakimbilia Bayern then ManCity
Farmer league
Nuno Espirito Santo ndie kocha bora kuliko wote EPL.
Achana na Pep mpenda pesa. Kwa resources alizonazo hata wewe hapo ukiicoach City utapata mafanikio. Aende akaiiinue Newcastle with minimum budget ndio utamjua kama ni coach bora ama mpenda utajiri.
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.
Hata pale Barcelona, aliikuta timu imeshasukwa na Frank Rijkaard. Yeye akapata credit za kudandia basi. Baada ya matunda ya Rijkaard kuanza kufutika akakimbilia Bayern then ManCity
The way rijkaard's team and the way peps team played ni tofauti kabisa albeit the majority of the players played under both managers.
Jamaa hajielewi huyoUEFA champions League ni farmer league??
Msimu uliopita Pep kachukua makombe yote uingereza
kwa hoja hii ya kipumbavu , kina Uchebe, Mkwassa n.k ni makocha bora kabisa maana bajeti zao huwa ndogo kulinganisja na kina MouYani unachukua kombe na barca alafu unajiita bora?
Awaige akina klopp, mourinho waliokuwa na timu ndogo na wakabeba makombe.
#siopovu
Ninacho kiona sasa ni kwamba kipara makulega bwana Guadiola ni over hyped coach ni kocha ambae watu wana mchukulia kama 50 cent ila ki uhalisia ni 20 pasenti.
Kwa team aliyo nayo Guadiola pamoja hata na injury angekua kocha mwenye huu ubora anao imbwa alikua sio mtu wa kupoteza game nje ndani kwa zaidi ya timu 3 msimu mmoja anapigwa ye anapigwa tu! Home anapigwa away.
Makocha ote wanao jitambua wamempiga nje ndani na mechi ya liverpool anaenda kubondwa tena,
Huyo kocha kweli? ana beki ghali zaidi uwanjani ,anakiungo bora EPL team ina kila kitu ile!
Hata ile baki ya kina benjamin mendy sio mbovu kama watu wanavyo itafsiri ni ubovu tu wa mbinu za kocha .
Guadiola ni kanjanja tu mmoja sema mjanja mjanja ana bustiwa na nguvu ya pesa za timu anazofundisha.
Ukimuangali clopp kafundisha timu ndogo kabisa(Mainz) mpaka Dortimund wanamchukua alitikisa sana Bundes liga tena na timu yenye bajeti ya bilinganya kwenye usaji
Same kwa dortimund ila alisumbua na UEFA mpaka fainali.
Hata liverpool anabeba UEFA na sasa PL wachezaji wake ni wakawaida ila kocha amefanya kazi yake ipasavyo na inaonekana.
Leo umpe guadiola wolvermpton,chelsea,Arseanal au spurs anazishusha daraja kabisa
Ni kocha wa kawaida sana
Mourinyo kachukua UEFA na Fc Porto hakuna alie kua anatarajia kaja kuitambulisha chelsea ambayo ilikua kama burley tu!
Guadiola ni kocha wakiwango cha kawaida sana hajafika hata kwa Ostadh Nuno Espenito wa wolvermpton.
#epl
#champion