The Bandit
Member
- May 26, 2020
- 14
- 17
Na jana kawapiga 3-0 kipindi cha kwanza tena ndani ya dakika kumi kumi tu(25,35 na 45) na shukuruni VAR sana 5 bila ilikuwa zawadi yenu jana.Go east
Go west
Pepsi is just a mediocre coach!
A pig is just a pig even when you put a lipstick on its lips
usidandie ushabiki maandazi. Ifuatilie Barca kwa undani na utaelewa naongea niniKuna kitu nadhani hukifahamu
Pep aliingia barca akakuta kuna utawala wa Ronaldinho, Deco na Etoo, akauvunja akatengeneza wake wa Messi, Xavi na Iniesta bila gharama yoyote.
Pep wakati anafika aliwaondoa/aliwauza jumla ya wachezaji 12 , sasa unasemaje tena alikuta timu imeshasukwa na rijkaard?
Na kama Rijkaard alikuwa na ubora huo imekuwaje kashindwa kusuka timu nyingine baada ya kutoka barca?
huo ni mtazamo wako. You are entitled to your own opinionUkishakuwa bora tu, wenye pesa watakutafuta. Hivi ulitegemea kwa kiwango kile cha samatta aende kucheza simba au yanga??
Kwa kiwango cha Pep hata akitoka happ City, basi kuna timu kubwa zitaweka mzigo wa maana mezani kama PSG, Juve, Barca, Man utd, Bayern, Spain national team n.k
Hata huyu huyo nuno usitegemee kwa kiwango alichonacho ataenda timu ya kawaida baada ya hapo
Swalk la kujiuliza kwa nn timu kubwa na zenye pesa zinamuhitaji sana PEP? Kwa nn isiwe kwa makocha wengine?
We unahisi timu kama PSG au Madrid watamuhitaji david moyes??
Tunaomba uanike hiyo budgetUnajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?
Go SouthamptonHahahaha aya bwana wacha sie tumcheki tactical magician akifanya yake hapa etihad.
Vp bado umeshikilia msimamo wako??? Lete report
Pepsi ni utajiri wa vilabu ndio unaficha udhaifu wake. Ila ni kocha wa kawaida sanaUkishakuwa bora tu, wenye pesa watakutafuta. Hivi ulitegemea kwa kiwango kile cha samatta aende kucheza simba au yanga??
Kwa kiwango cha Pep hata akitoka happ City, basi kuna timu kubwa zitaweka mzigo wa maana mezani kama PSG, Juve, Barca, Man utd, Bayern, Spain national team n.k
Hata huyu huyo nuno usitegemee kwa kiwango alichonacho ataenda timu ya kawaida baada ya hapo
Swalk la kujiuliza kwa nn timu kubwa na zenye pesa zinamuhitaji sana PEP? Kwa nn isiwe kwa makocha wengine?
We unahisi timu kama PSG au Madrid watamuhitaji david moyes??
Wa kawaidaaa mnoooo yani ukitaka kujua we angalia akicheza na nuno yani hana ujanja anawekwaaa tuuh.. Sasa asume timu ya nuno ndio apewe pepsi na ya pepsi apewe nuno alaf wakutane si atapigwa hadi achakae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pepsi ni utajiri wa vilabu ndio unaficha udhaifu wake. Ila ni kocha wa kawaida sana
Morinhol ni kocha kuliko pepsi ila kinacho muangusha mou ni majivuno na kiburi chake ...ambacho kiba pelekea kushindwa kuisho vyema na wachezaji ila mou > pepsiBora useme morinho ni kocha wa kawaida
Hamna kocha humo kakaFTFull Time
Southampton vs Manchester City. Premier League.
7:00pm, Sunday 5th July 2020.
St. Mary's Stadium.
Southampton1
- C Adams (16')
Manchester City0
Kama anapigwa hadi na SOTON kwanni nisiendelee na msimamo wangu?Vp bado umeshikilia msimamo wako??? Lete report
Angenionesha game ya kwanza wakati liverpool bado hawajatangazwa kua mabingwa.. ile mechi ambayo kila mtu bado ana uchu ligi bado mbichi sio saivi liva kashakua bingwa kwanni ajichoshe ..hehehe Gadiola alisoma post yako akasema ngoja nikuonyeshe
leo kapigwa pale St. MaryNa jana kawapiga 3-0 kipindi cha kwanza tena ndani ya dakika kumi kumi tu(25,35 na 45) na shukuruni VAR sana 5 bila ilikuwa zawadi yenu jana.
Arudi akaifundishe Barcelona na kuisuka upya.Kufungwa kwa pep sasa hakuondoi ubora wake. Pep ashathibitisha ubora wake akiwa pale barca, je ile barca ilikuwa ya bajeti kubwa? Mafanikio anayopata klop sasa Pep ashayapata tena zaidi. Je klop akianza kuyumba hapo baadae kama akina Morinyo au wenger walivyoyumba hatatambulika kuwa mmoja wapo wa kocha bora kuwahi kutokea?
Exactly[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arudi akaifundishe Barcelona na kuisuka upya.
Aliekuwa akimfichia aibu (Messi) keshaanza kuzeeka. Xavi hayupo. Iniesta hayupo.