Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa hukumu judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo au watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?

Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
 
Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.

Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.

Jifunzeni kuukubali uhalisia.
 
Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.

Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.

Jifunzeni kuukubali uhalisia.
Subiria kiama scars si tupo utalia na kusaga meno mrudie Muumba wako
 
Penye neno "subiria" ndipo mahali uongo ulipofichwa
Basi tuseme subiri ufe ndo utakapojua km Mungu yupo au hayupo, jehannam na pepo vipo au havipo...najua huwezi kukataa kwamba lazima ufe.japo unaweza kukataa uwepo wa siku ya kiama (ufufuo)....ukishakufa tu utajua uhakika wa haya unayoyakanusha.
 
Tungempata mshikaji ambaye aliwahi kufa na kwenda huko peponi na mbinguni angetupa majibu.
 
Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.

Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.

Jifunzeni kuukubali uhalisia.
Wewe bado dogo kiimani kuzimu IPO? Na ina vyumba 351 kwa ajili ya watenda dhambi .
Mateso yake haelezeki ,Mimi nitakosa kila kitu duniani ila bora nimpate yesu .
Ilo ni lengo LA shetani usiamini .Mimi ninakwambia kwa experience ni bora usinge
 
Wewe bado dogo kiimani kuzimu IPO? Na ina vyumba 351 kwa ajili ya watenda dhambi .
Mateso yake haelezeki ,Mimi nitakosa kila kitu duniani ila bora nimpate yesu .
Ilo ni lengo LA shetani usiamini .Mimi ninakwambia kwa experience ni bora usinge
Zaliwa kuliko kutupwa kwenye shimo LA je
 
Wewe bado dogo kiimani kuzimu IPO? Na ina vyumba 351 kwa ajili ya watenda dhambi .
Mateso yake haelezeki ,Mimi nitakosa kila kitu duniani ila bora nimpate yesu .
Ilo ni lengo LA shetani usiamini .Mimi ninakwambia kwa experience ni bora usinge
Bila uthibitisho, hii ni hallucinations tu
 
Wewe bado dogo kiimani kuzimu IPO? Na ina vyumba 351 kwa ajili ya watenda dhambi .
Mateso yake haelezeki ,Mimi nitakosa kila kitu duniani ila bora nimpate yesu .
Ilo ni lengo LA shetani usiamini .Mimi ninakwambia kwa experience ni bora usinge
Zaliwa kuliko kutupwa kwenye shimo LA jehanam
Basi tuseme subiri ufe ndo utakapojua km Mungu yupo au hayupo, jehannam na pepo vipo au havipo...najua huwezi kukataa kwamba lazima ufe.japo unaweza kukataa uwepo wa siku ya kiama (ufufuo)....ukishakufa tu utajua uhakika wa haya unayoyakanusha.
Nai
Bila uthibitisho, hii ni hallucinations tu

la uthibitisho, hii ni hallucinations tu
Mimi Nina uthibitisho? Kwa kuona kwa imani kt name kusoma katka neno
 
Waliokombolewa
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa huku judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?

Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Waliokombolewa tu.wataiona mbingu
Maana yaliokombolewa na dhambi ukimwita mkristo au msilamu unamkaa kama koti
 
Waliokombolewa
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa huku judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?

Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Waliokombolewa tu.wataiona mbingu
Maana yaliokombolewa na dhambi ukimwita mkristo au m
 
Back
Top Bottom