Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Wazee wa zamani watuambie walioambiwa na babu zao kabla ya ukoloni walikua wanaamini hii kufika peponi?,kwa uelewa wangu mdogo wao walikua wanaabudu kupitia tamadani zakikabila ilasihaya tulioanfikiwa na wenzetu toka ktk kabila zao huko ulaya na mashariki ya kati then kuleta huku kwetu.fikiria kwa mlango wa 3 nasio haya unayoyajua nakusoma.
 
Nimeyajua kwa mujibu wa mafundisho ya imani yangu (uislamu), nami kwa hakika nimesadiki hayo yapo bila shaka...ni suala la muda tu kila mmoja wetu atayashuhudia haya yanayozungumzwa kwa jicho la yakini (bayana) mara tu siku roho yake itapotolewa na mwili wake kwenda kuzikwa kaburini...Mind you, lazima ufe.
Umesadiki habari ya kusadikika?

Unajuaje hizo habari ni za kweli?
 
Japo umemtaka mshkaji, ila mimi nakutajia Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kwenda huko (akiwa hai) na alivishuhudia hivyo kwa yakini kabisa...hii safari yake ya kwenda Mbinguni maarufu inaitwa safari ya Israa na Miiraji, ilikuwa ni safari ya kimiujiza, na kwa idhini ya Mola mlezi alionyeshwa mambo mengi mno ikiwemo pepo na moto...
Sitaki mambo ya enzi hizo, wala sitaki mambo ya kiimani. Mm nataka reality.
 
Watu wamezidi kwa ubishi na majigambo ya kijinga.

Badala ya kufikiri ni "ugumu" gani uliokuwepo hadi yeye, Baba yake, mama yake, mababu zake nk, walivyokuja hapa duniani yeye anafikiria juu ya "ugumu" wa huko aendapo pindi atakapokufariki !!!.

Jinsi mtu na viumbe hai wengine walivyoanza kutokea hapa duniani hilo ni tukio gumu mno kuliko mtu kufariki na roho yake kwenda akhera kwani hadi mtu katokea duniani ni kwamba dunia ilianza "from nothingness" na baada ya dunia kuwepo ndipo viumbe hai wakaja (wakaumbwa), sasa hamuoni kwamba jambo hilo ("nothingness into something") ni gumu sana kuliko jambo la mtu kufa na roho yake kufufuka??!!--- kwasababu mtu tayari yupo na kinachofanyika ni mabadiliko ya mazingira ya kuishi, duniani mtu anaishi kimwili na huko akhera mtu ataishi kiroho.

Huko akhera ndiko kuna pepo na jehanamu, peponi watakaa watu wema na jehanamu (motoni) watakaa watu waovu, bila shaka wema na waovu hapa duniani wanajulikana.

Mtu mwenye akili kwanza atatafakari juu ya ugumu uliokuwepo hadi yeye akatokea duniani na baadaye ndipo anaweza kutafakari juu ya maisha baada ya kifo chake ambayo ni obvious.
 
Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.

Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.

Jifunzeni kuukubali uhalisia.
wanaadamu wengi wanakili kuwa Mungu sababu ya uoga wa moto wanaousikia, ila vitabu visingeongelea moto sidhan kama kungekuwa ata na hawa mashke na pastors.
 
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa hukumu judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo au watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?

Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
1Corintian 6:9-11 Do you not know that the unrighteous will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor [a]homosexuals, nor [b]sodomites, 10 nor thieves, nor covetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the kingdom of God. 11 And such were some of you. But you were washed, but you were [c]sanctified, but you were justified in the name of the Lord Jesus and by the Spirit of our God

Kwamba mwanadamu atahukumiwa/tutahukumiwa kwa yale tulioambiwa tusiyafanye na hatukusikia,,lakini kibaya zaidi tumepewa njia rahisi ya kushinda dhambi kwa kumwamini YESU akae ndani yetu kwa nguvu ya ROHO MTAKATIFU ili tuweze kushinda dhambi na tuishi maisha yalio standard upendo,utu wema,ukarimu,nk lakini hatukutaka maisha hayo tukabaki tukiishi kwa nguvu na akili zetu ambazo haziwezi kushinda dhambi.
Kwa hio tutahukumiwa kwa makosa yote tulioambiwa tusifanye, wizi, kuuwa,, kulala na wake wa wenzetu,,uchawi wote,,fitna,, majungu,,wivu,, ulafi,, ulevi,,dhulma,,utapeli,,kutoa mimba,, ushoga,, ufiraji,,kuabudu vinyago,,kwenda kwa waganga wa kienyeji,,upagani,,kubadili jinsia na kumkashfu ROHO MTAKATIFU,,NK NK

MWISHO KABISA
ZABURI 16:3 Watakatifu walioko duniani ndio ninaopendezwa nao.
Pamoja na binadamu kutokuwa mkamilifu iko njia ya wale walioamini kutenda dhambi na kujitakasa kwa damu ya YESU na kumaintain ile hali ya kuwa mtakatifu. Kwa hio wapo watakatifu duniani na yeyote mwenye kutaka kuwa mtakatifu anaweza akaamua kuacha njia alio nayo na Kumfuata YESU ambae ni njia pia ilio sahihi zaidi.
 
1Corintian 6:9-11 Do you not know that the unrighteous will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor [a]homosexuals, nor [b]sodomites, 10 nor thieves, nor covetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the kingdom of God. 11 And such were some of you. But you were washed, but you were [c]sanctified, but you were justified in the name of the Lord Jesus and by the Spirit of our God

Kwamba mwanadamu atahukumiwa/tutahukumiwa kwa yale tulioambiwa tusiyafanye na hatukusikia,,lakini kibaya zaidi tumepewa njia rahisi ya kushinda dhambi kwa kumwamini YESU akae ndani yetu kwa nguvu ya ROHO MTAKATIFU ili tuweze kushinda dhambi na tuishi maisha yalio standard upendo,utu wema,ukarimu,nk lakini hatukutaka maisha hayo tukabaki tukiishi kwa nguvu na akili zetu ambazo haziwezi kushinda dhambi.
Kwa hio tutahukumiwa kwa makosa yote tulioambiwa tusifanye, wizi, kuuwa,, kulala na wake wa wenzetu,,uchawi wote,,fitna,, majungu,,wivu,, ulafi,, ulevi,,dhulma,,utapeli,,kutoa mimba,, ushoga,, ufiraji,,kuabudu vinyago,,kwenda kwa waganga wa kienyeji,,upagani,,kubadili jinsia na kumkashfu ROHO MTAKATIFU,,NK NK

MWISHO KABISA
ZABURI 16:3 Watakatifu walioko duniani ndio ninaopendezwa nao.
Pamoja na binadamu kutokuwa mkamilifu iko njia ya wale walioamini kutenda dhambi na kujitakasa kwa damu ya YESU na kumaintain ile hali ya kuwa mtakatifu. Kwa hio wapo watakatifu duniani na yeyote mwenye kutaka kuwa mtakatifu anaweza akaamua kuacha njia alio nayo na Kumfuata YESU ambae ni njia pia ilio sahihi zaidi.
Warumi 3:20-23
[20]kwa sababu hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki mbele zake kwa matendo ya sheria; kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria.
[21]Lakini sasa, haki ya Mungu imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa na torati na manabii;
[22]ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;
[23]kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
 
Sitaki mambo ya enzi hizo, wala sitaki mambo ya kiimani. Mm nataka reality.
kama unataka reality subiri siku yako ya kufa ikifika, utaiyona reality kwa sababu haya mambo yapo kiroho sana, kuliko kimwili na kwa kuwa hakuna ubishi kwamba utakufa, basi subiri uyashuhudie mwnyw bila kuhadithiwa.
 
kama unataka reality subiri siku yako ya kufa ikifika, utaiyona reality kwa sababu haya mambo yapo kiroho sana, kuliko kimwili na kwa kuwa hakuna ubishi kwamba utakufa, basi subiri uyashuhudie mwnyw bila kuhadithiwa.
Kama yapo kiroho sasa mbona mwili unadhurika.?
 
Back
Top Bottom