Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Peponi bila kujali kutakuwa na nini ni watu gani wataingia?

Pepo ipi unazungumzia? Kama ni hizi wanazohubiri makanisan na misikitin basi usijichoshe kuzingojea, maana zimejawa uongo mtupu, kila mtu anaeleza lake.

Kwa mujibu wa Quran mtu anatakiwa kuwa mfuasi mzuri wa dini na sharia za uislam ikiwepo kumuabudu Mungu wao mmoja tu ambaye ni Allah pekee na ambaye mtume wake wa mwisho dunian ni Muhammad, na pepo ya hii dini ina utofaut na pepo ya dini zingine,

Pepo kwa mujibu wa biblia&ukristo hawa wanadai umkubali yesu kristo kuwa bwana na mwokozi sijui wa maisha yako, at the same time huyu huyu yesu nae ni Mungu pia, sasa sijui inakuwaje kwa wale wasiomkubali[emoji23][emoji23].

Itoshe kusema peponi, mbingun na motoni hakupo kama dini zinavyoeleza, haya mastori yalitungwa na wazungu kwa sababu za kuwatisha watu wawe na maadili kulingana na matakwa ya serikali, pia kuwafanya watu kuwa watumwa wa serikali zilizokuwa zikiongozwa na kanisa.

sheria nyingi za kinchi zilitoka kwa watawala waliogemea upande wa dini kwa kutunga sheria zinazowapendeza na kuzipitisha katika dini ili kuwafanya watu wajawe hofu na utii kwa serikali kwa kuwajaza sumu kuwa Mungu ndie anawataka wawe hivyo, kumbe ni sababu za kibinadamu za kuwahadaa raia.

Hata zile amri 10 zilitungwa tu na wanasheria wa kiserikali kwa niaba ya wanadini ili kulinda maadili ya wananchi na kucontrol mienendo yao, kupitia vitisho vya kidini na hukumu ya motoni kwa wale watakao vunja sheria hizo.

kwan nje ya dini ni nani ambaye hajui kuiba si tabia njema? Kuua si vizuri? Kuwatii na kuwafuata viongozi ambao si viongoz wa nchini mwako kwakisingizio cha usiabudu miungu mingine (usiwatumikie viongoz nje ya nchi yako), pia kutamani mali zisizo zako na kutofanya zinaa hovyo kwani nani asiyejua ni vibaya kwa mujibu wa maadili ya kijamii nje ya dini? Hata sheria za nchi zinawataka raia kuwa na maadili lkn unadhani je kwanini dini ikaja kukazia hizo sheria kwa kuziita amri? Sababu kuu ni kuweka hofu na utii wa lazima wa sheria za nchi kwa kuziita sheria za Mungu, hivyo mtu akizivunja anaweza ukwepa mkono wa sheria za nchi lkn hawezi kwepa hukumu ya moto wa milele huko kuzimu baada ya kifo[emoji23][emoji23][emoji23] HAVE YOU SEEN THE TRUTH HERE?.

na hivyo ndivyo hata wakoloni walifanikiwa kuitawala Afrika kupitia dini kwa hizo stori zao za kizushi.

Mbingu na jehanamu ya moto haipo, hizi hadithi kabla ya kutungwa na watu weupe walicopy stori za mababu wa kiafrika waliotumia sheria hizo kama tabia za kijamii, wao wakazibadili huko kwao na kuita ni sheria za Mungu kwa wanadamu, baada ya kuona waafrika waliweza kuishi vizuri ktk jamii zao kwa maadili mema pasipo uhitaji wa magereza na mapambano ya maovu ya wananchi wao, hivyo wakacopy mienendo ya waafrika na kuintroduce ktk vitabu vyao vya dini zao na kuzipeleka kwa raia na kuita hiyo mienendo hiyo ni sheria ambazo ni takwa la kila raia anaeamini Mungu kuzishika, hapo ndipo wakaanza kucontrol tabia za wananchi wao, UNATAKIWA UJUE KUWA, HAPO KABLA MTU WA AFRIKA ALIONEKANA KAMA MUNGU, maana watu wa afrika walitimia kila nafasi kuanzia maadili, maendeleo, elimu na ushawishi dunian, the same leo mnavyowaona hao wazungu na watu weupe kiujumla[emoji16].
 
Watakao ingia ni wateule tuu na sio walio itwa kuingia kwenye msafara ,wakaitika ,

Wateule ni kundi dogo la watu ambao ni miongoni mwa walio itwa , Ila Wao huyafanya Mapenzi yote ya Mungu,

Walio itwa ni wengi,wateule ni wachache ,

Ili uwe miongoni mwa wateule na sio kundi kubwa la walioitwa ni lazima,uyatende Mapenzi yote ya Mungu ,

Imani pasipo matendo imekufa, Kuna mwenendo WA matendo unayotakiwa kuyaishi ,Kama sehemu ya utambulisho kuwa wewe ni miongoni mwa waamini,
 
Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.

Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.

Jifunzeni kuukubali uhalisia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja wajeee, na unajua kuwachokoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe bado dogo kiimani kuzimu IPO? Na ina vyumba 351 kwa ajili ya watenda dhambi .
Mateso yake haelezeki ,Mimi nitakosa kila kitu duniani ila bora nimpate yesu .
Ilo ni lengo LA shetani usiamini .Mimi ninakwambia kwa experience ni bora usinge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weka uthibitishooo hapaaa, acha uongooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WALE WAVAA KOBAZI, WAFUGA NDEVU WA TANDALE KWA TUMBO WANAKUAMBIA YULE MUDI HAKUWA NA DHAMBI🤣🤣🤣
 
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa huku judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?

Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Ni kweli wanadamu ni wadhambi ndii maana kuna toba
 
Watakao ingia ni wateule tuu na sio walio itwa kuingia kwenye msafara ,wakaitika ,

Wateule ni kundi dogo la watu ambao ni miongoni mwa walio itwa , Ila Wao huyafanya Mapenzi yote ya Mungu,

Walio itwa ni wengi,wateule ni wachache ,

Ili uwe miongoni mwa wateule na sio kundi kubwa la walioitwa ni lazima,uyatende Mapenzi yote ya Mungu ,

Imani pasipo matendo imekufa, Kuna mwenendo WA matendo unayotakiwa kuyaishi ,Kama sehemu ya utambulisho kuwa wewe ni miongoni mwa waamini,
mfano wa hayo matendo ni yapi?
 
Hapo tyuuh ndo huwa napowakamataga wafia dini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waleteee ushahidi na uthibitishoooo

Sent using Jamii Forums mobile app
Let me tell you one thing, Tupo ambao Tumekutana na Nguvu za Mungu, na kufanya imani ile changa ya kusikia tu kilichoandikwa kwenye Biblia kuwa kubwa sana.
 
Duniani ,Kuna familia mbili Watoto wa Nuru na wagiza,

Kumwamini kristo na kutembea katika mwenendo wa mwamini,

Kuhishi ,utakatifu wore,

Tuko duniani sisi ni wasafiri tunaelekea mbinguni ,
Neno la MUNGU biblia ni kama ramani ya kufika tuendako yaani mbinguni,

Angalia ramani , kuuliza ni sawa na unalamani mkononi ,halafu unauliza Watu njiani Mwa safari unaokutana nao wengine wanaenda,wengine wanaludi ulikotoka yaani nyuma dhambini,wengine wanaamini njia zao za kubuni na kukushauri kuwa tukipita huku tutafika,wakati WEWE unatakiwa,uangalie ramani, nikipita njia hii nitafika kweli,

Biblia inasema Kwa kupitia mtume Paulo ,ambae yeye Alikuwa anaujua ukweli mwingi ;

Akasema,

MSIDANGANYIKE ,wazinzi na waasherati na wote wafanyao matendo mabaya ,hawataingi mbinguni,
 
Duniani ,Kuna familia mbili Watoto wa Nuru na wagiza,

Kumwamini kristo na kutembea katika mwenendo wa mwamini,

Kuhishi ,utakatifu wore,

Tuko duniani sisi ni wasafiri tunaelekea mbinguni ,
Neno la MUNGU biblia ni kama ramani ya kufika tuendako yaani mbinguni,

Angalia ramani , kuuliza ni sawa na unalamani mkononi ,halafu unauliza Watu njiani Mwa safari unaokutana nao wengine wanaenda,wengine wanaludi ulikotoka yaani nyuma dhambini,wengine wanaamini njia zao za kubuni na kukushauri kuwa tukipita huku tutafika,wakati WEWE unatakiwa,uangalie ramani, nikipita njia hii nitafika kweli,

Biblia inasema Kwa kupitia mtume Paulo ,ambae yeye Alikuwa anaujua ukweli mwingi ;

Akasema,

MSIDANGANYIKE ,wazinzi na waasherati na wote wafanyao matendo mabaya ,hawataingi mbinguni,
specify moja kwa moja jibu la swali letu sasa
 
Nimeyajua kwa mujibu wa mafundisho ya imani yangu (uislamu), nami kwa hakika nimesadiki hayo yapo bila shaka...ni suala la muda tu kila mmoja wetu atayashuhudia haya yanayozungumzwa kwa jicho la yakini (bayana) mara tu siku roho yake itapotolewa na mwili wake kwenda kuzikwa kaburini...Mind you, lazima ufe.
We uliyajuaje hayo yapo bila kufa?
 
Tungempata mshikaji ambaye aliwahi kufa na kwenda huko peponi na mbinguni angetupa majibu.
Japo umemtaka mshkaji, ila mimi nakutajia Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kwenda huko (akiwa hai) na alivishuhudia hivyo kwa yakini kabisa...hii safari yake ya kwenda Mbinguni maarufu inaitwa safari ya Israa na Miiraji, ilikuwa ni safari ya kimiujiza, na kwa idhini ya Mola mlezi alionyeshwa mambo mengi mno ikiwemo pepo na moto...
 
Back
Top Bottom