[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uongo mtupuuuu.Let me tell you one thing, Tupo ambao Tumekutana na Nguvu za Mungu, na kufanya imani ile changa ya kusikia tu kilichoandikwa kwenye Biblia kuwa kubwa sana.
Umesadiki habari ya kusadikika?Nimeyajua kwa mujibu wa mafundisho ya imani yangu (uislamu), nami kwa hakika nimesadiki hayo yapo bila shaka...ni suala la muda tu kila mmoja wetu atayashuhudia haya yanayozungumzwa kwa jicho la yakini (bayana) mara tu siku roho yake itapotolewa na mwili wake kwenda kuzikwa kaburini...Mind you, lazima ufe.
Sitaki mambo ya enzi hizo, wala sitaki mambo ya kiimani. Mm nataka reality.Japo umemtaka mshkaji, ila mimi nakutajia Mtume Muhammad (S.A.W) amewahi kwenda huko (akiwa hai) na alivishuhudia hivyo kwa yakini kabisa...hii safari yake ya kwenda Mbinguni maarufu inaitwa safari ya Israa na Miiraji, ilikuwa ni safari ya kimiujiza, na kwa idhini ya Mola mlezi alionyeshwa mambo mengi mno ikiwemo pepo na moto...
Hilo ni kwa upande wangu, kwa vile ni mimi yalio nikuta, sikulazimishi kusadiki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uongo mtupuuuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipoteze muda wako kujadiliana na pungaHilo ni kwa upande wangu, kwa vile ni mimi yalio nikuta, sikulazimishi kusadiki.
wanaadamu wengi wanakili kuwa Mungu sababu ya uoga wa moto wanaousikia, ila vitabu visingeongelea moto sidhan kama kungekuwa ata na hawa mashke na pastors.Tatizo mnataka kupewa majibu mnayoyapenda au yale yanayowafurahisha.
Peponi hakupo, jehanamu nako hakupo kwasababu anayehusishwa na uwepo wa hivyo vitu (Mungu) naye hayupo.
Jifunzeni kuukubali uhalisia.
1Corintian 6:9-11 Do you not know that the unrighteous will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor [a]homosexuals, nor [b]sodomites, 10 nor thieves, nor covetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the kingdom of God. 11 And such were some of you. But you were washed, but you were [c]sanctified, but you were justified in the name of the Lord Jesus and by the Spirit of our GodNaomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa hukumu judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo au watakao ingia mbinguni ni watu wenye sifa zipi..?
Mhubiri 7:20
[20]Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi.
Warumi 3:20-231Corintian 6:9-11 Do you not know that the unrighteous will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived. Neither fornicators, nor idolaters, nor adulterers, nor [a]homosexuals, nor [b]sodomites, 10 nor thieves, nor covetous, nor drunkards, nor revilers, nor extortioners will inherit the kingdom of God. 11 And such were some of you. But you were washed, but you were [c]sanctified, but you were justified in the name of the Lord Jesus and by the Spirit of our God
Kwamba mwanadamu atahukumiwa/tutahukumiwa kwa yale tulioambiwa tusiyafanye na hatukusikia,,lakini kibaya zaidi tumepewa njia rahisi ya kushinda dhambi kwa kumwamini YESU akae ndani yetu kwa nguvu ya ROHO MTAKATIFU ili tuweze kushinda dhambi na tuishi maisha yalio standard upendo,utu wema,ukarimu,nk lakini hatukutaka maisha hayo tukabaki tukiishi kwa nguvu na akili zetu ambazo haziwezi kushinda dhambi.
Kwa hio tutahukumiwa kwa makosa yote tulioambiwa tusifanye, wizi, kuuwa,, kulala na wake wa wenzetu,,uchawi wote,,fitna,, majungu,,wivu,, ulafi,, ulevi,,dhulma,,utapeli,,kutoa mimba,, ushoga,, ufiraji,,kuabudu vinyago,,kwenda kwa waganga wa kienyeji,,upagani,,kubadili jinsia na kumkashfu ROHO MTAKATIFU,,NK NK
MWISHO KABISA
ZABURI 16:3 Watakatifu walioko duniani ndio ninaopendezwa nao.
Pamoja na binadamu kutokuwa mkamilifu iko njia ya wale walioamini kutenda dhambi na kujitakasa kwa damu ya YESU na kumaintain ile hali ya kuwa mtakatifu. Kwa hio wapo watakatifu duniani na yeyote mwenye kutaka kuwa mtakatifu anaweza akaamua kuacha njia alio nayo na Kumfuata YESU ambae ni njia pia ilio sahihi zaidi.
kama unataka reality subiri siku yako ya kufa ikifika, utaiyona reality kwa sababu haya mambo yapo kiroho sana, kuliko kimwili na kwa kuwa hakuna ubishi kwamba utakufa, basi subiri uyashuhudie mwnyw bila kuhadithiwa.Sitaki mambo ya enzi hizo, wala sitaki mambo ya kiimani. Mm nataka reality.
Kama yapo kiroho sasa mbona mwili unadhurika.?kama unataka reality subiri siku yako ya kufa ikifika, utaiyona reality kwa sababu haya mambo yapo kiroho sana, kuliko kimwili na kwa kuwa hakuna ubishi kwamba utakufa, basi subiri uyashuhudie mwnyw bila kuhadithiwa.