Pepsi ina nini?

Pepsi ina nini?

Jamanii pepsi ina nini ,,ile ya 500 ,acha ile peps diet ile yenyewee jamani wameweka tuninii ,,nikiiona tu natamani kunywaa jamani,,leo nimejikaza siku nzima sijanywa naona siku ndefu wallah,,na tunaambiwa soda mbaya,chips mbaya,pombe mbayaa sasa hata pepsi mbaya jamanii
Mi naipenda kweli ina ladha fulan hivii amazing , au ina kilevii najiuliza maswali smaliziiii
Mimi ni mgonjwa wa pepsi..hasa ya chupa..ile soda ni tamu sana
 
Dinazade ukitaka kuifahamu pepsi vizuri hebu ichemshe ichemke kisha uiache ipoe uone maajabu.

Au nenda youtube katype

"What happens after boiling pepsi"

Dinazade ukitaka kuifahamu pepsi vizuri hebu ichemshe ichemke kisha uiache ipoe uone maajabu.

Au nenda youtube katype se
Kwani tumboni kuna jiko itachemka?imetengenezwa ili inywewe sio ichemshwee,,hata we ukichukua nguo yako uichome moto lazima iharibikee
 
Jamanii pepsi ina nini ,,ile ya 500 ,acha ile peps diet ile yenyewee jamani wameweka tuninii ,,nikiiona tu natamani kunywaa jamani,,leo nimejikaza siku nzima sijanywa naona siku ndefu wallah,,na tunaambiwa soda mbaya,chips mbaya,pombe mbayaa sasa hata pepsi mbaya jamanii
Mi naipenda kweli ina ladha fulan hivii amazing , au ina kilevii najiuliza maswali smaliziiii
Hahaaaa, kumbe mateja wa Pepsi tuko wengi?! Hata mie naipenda ila kuepuka kujaza sukari mwilini huwa nazimua na maji au ice cubes.
 
Back
Top Bottom