Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
AiseeHao hawapo seriously na vitu vinavyoitwa addiction mkuu , napataje addiction na chakula cha nyuki na nzi kwa mfano π€
Sure bro wakae chonjo wasije kupata addiction ya bia tu.Aisee
Mkui kuna sisi haya mambo ni vile tu nature ya mtu ila haya mambo mi sifagilii kabisa toka mtoto anNjaa ni tatizo la kisaikolojia watu walitoka broke family ndo huwa wanakumbwa na uraibu katika vinywaji Kama soda ,pombe n.k
Astakfillah *5Zinawekwa mafuta ya kitimoto
Wee ulishasema ameondoka bila kukuaga just tulia uwezi elewa hapa ahhhhaddiction ya soda hebu kuweni serious!
mkuu talianzisha hapa uzi uchafuke..πWee ulishasema ameondoka bila kukuaga just tulia uwezi elewa hapa ahhhh
Wee daudi jau sana ππππPeps sijui zina nini, Coka hazina mzuka
Ahahahha kwanini aondoke bila kuaga why why πππmkuu talianzisha hapa uzi uchafuke..π
sijui mimi!Ahahahha kwanini aondoke bila kuaga why why πππ
huo ndio ukweli, nilikuwa mnywaji wa Coka, siku nilipoonja peps, coka nimesahu nilikunywa liniWee daudi jau sana ππππ