Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukikuta ya Baridi sasa ambayo ilikuwa inakaribia kuganda fulani hivi!! Weeee!Peps sijui zina nini, Coka hazina mzuka
Coca- cola haina maajabu mkuu ushakunywa mchemsho ukapata na peps baridiiiAchana na Coca-Cola mjomba
Hunambii kitu kuhusu Coca
#MaajabuHalisi 🔥
wewe ndio unaelewa sasaNa ukikuta ya Baridi sasa ambayo ilikuwa inakaribia kuganda fulani hivi!! Weeee!
Daud wewe naona una shida mahaliCoca- cola haina maajabu mkuu ushakunywa mchemsho ukapata na peps baridiii
hayo matusi ya reja reja sasa, si kila mtu anasifia anachopendaHalafu Pepsi mara nyingi wanakunywa wanawake
Wanaume tunaondoka na Coca-Cola
mahali wapi patajeDaud wewe naona una shida mahali
Nimesema MARA NYINGI wanakunywa wanawake sina maana kuwa wanaokunywa Pepsi wote ni wanawakehayo matusi ya reja reja sasa, si kila mtu anasifia anachopenda
kwenye ulevi wa soda tupo, mimi na peps kunitaenganisha ni ngumu, Hata mama yoyo akizingua akitaka kurejesha aman anatanguliza peps kwanza hapo tunaweza kuongeaKila siku hakika tunajifunza, Hivi kumbe kuna watu ni walevi wa soda,,,,,,,?😎
Nakuripoti kwa Prof JanabiMimi pia najikuta nakunywa hata 3 Kwa siku Ila maranyingi nakunywa 2 nachopendea Pepsi haina sukari Nyingi pia inapenda inavonichoma kooni ikiwa baridi aiseee huwa
Ngoja niagize ya pili hapaNa ukikuta ya Baridi sasa ambayo ilikuwa inakaribia kuganda fulani hivi!! Weeee!
Eti mkuu wanasemaga soda zina madhara?Ngoja niagize ya pili hapa
Unavikuta havitumii soda lakini vimekaukiana!Watoto wa Janabi nyie
Huwezi kunibandua kwenye Pepsi mkuu!wewe ndio unaelewa sasa
Pole sana. Nenda kafanyiwe maombi ya ukombozi mpendwa.Zinazo ndio mimi haipiti siku sijanywa pepsi hata wakiweka sumu wataniua
Angalia sana your health sukari at large volume si kitu kizuriZinazo ndio mimi haipiti siku sijanywa pepsi hata wakiweka sumu wataniua
We daudi jau kumbeleo tu ndio sijanywa mpaka saizi