mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ndio.Hivi hizi soda zina addiction?
Acha zako daud wee sizani kama ni mtumiaji wa soda kiasi hicho mpaka kujua kiasi hikohuo ndio ukweli, nilikuwa mnywaji wa Coka, siku nilipoonja peps, coka nimesahu nilikunywa lini
Engonga ban imeisha?Zinawekwa mafuta ya kitimoto
Watoto wa Janabi nyieMimi situmii soda kabisa.
More water...
leo tu ndio sijanywa mpaka saiziAcha zako daud wee sizani kama ni mtumiaji wa soda kiasi hicho mpaka kujua kiasi hiko
We tayari umekufa mzeeZinazo ndio mimi haipiti siku sijanywa pepsi hata wakiweka sumu wataniua
Halafu ulikaa chanjo zaoZote hizo ni products za Marekani!
Pata picha wewe Mtanzania kila kona ya dunia utapokanyaga mguu unakutana na bidhaa zilioanzia nchini kwako Tanzania.
How proud of your county would you be?
USA baby πΊπΈ.
π€£π€£Zinazo ndio mimi haipiti siku sijanywa pepsi hata wakiweka sumu wataniua
Mimi pia najikuta nakunywa hata 3 Kwa siku Ila maranyingi nakunywa 2 nachopendea Pepsi haina sukari Nyingi pia inapenda inavonichoma kooni ikiwa baridi aiseee huwaUkipita mitaani kuna wapenzi wa Pepsi na wapenzi wa coca cola na kila mtu huisifia soda anayoipenda .
Kuna kipindi nliwahi kuwa Mnywaji wa Pepsi baridi kadri ninazidi kuzinywa nikajikuta nazidi kuzipenda tu ikafika kipindi ikawa ni Ngumu kupitisha siku 2
Hivi hizi soda zina addiction?
View attachment 3167457live on the coke side of life View attachment 3167458Dare for more
Kuna Caffein na Sukari ya kutosha humo ndio zina Addiction.Ukipita mitaani kuna wapenzi wa Pepsi na wapenzi wa coca cola na kila mtu huisifia soda anayoipenda .
Kuna kipindi nliwahi kuwa Mnywaji wa Pepsi baridi kadri ninazidi kuzinywa nikajikuta nazidi kuzipenda tu ikafika kipindi ikawa ni Ngumu kupitisha siku 2
Hivi hizi soda zina addiction?
View attachment 3167457live on the coke side of life View attachment 3167458Dare for more
Achana na Coca-Cola mjombaPeps sijui zina nini, Coka hazina mzuka
Jamaa huyo anazingua kinomaWee daudi jau sana ππππ
Poor Mohamed Janabi!Addiction kiaje an...
Ndo nyie mnatafutwa na janabi aiseeee