Percy Muzi Tau awagomea Bafana Bafana kucheza mechi za kirafiki Ili kutunza nguvu za kuwaangamiza Simba tarehe 20/10/2023

Percy Muzi Tau awagomea Bafana Bafana kucheza mechi za kirafiki Ili kutunza nguvu za kuwaangamiza Simba tarehe 20/10/2023

Ahly wana huruma sana kama mpaka dk ya 40 washakupiga 5 hivi wangesema wa kaze si ulikua msiba wa goli 10 na kuendelea.
Dakika ya 69, tayari ilishakuwa Simba 5-0 Yanga.
Hivi Simba wangesema wakaze, si ulikua msiba mkubwa zaidi?

1696963524536.png
 
Al Ahyl walikuwa na huruma sana,

Ila nasikia Kwa sasa wamesema mambo ya huruma hawana tena

Sasa ni kipigo mwanzo mwisho
Hata Simba pia wana huruma sana maana walikua na uwezo wa kumpiga yanga 7 bila
 
Na hata baada ya draw ya makundi kuchezwa walipitia pitia historia ya wapinzani wao wakaziona zile 5 mlizofungwa na simba
Zile tano tano za kipindi kile ulivyopigwa na Al Ahly na As Vita naona inaandika loading.....
 
Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi

Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy Muzi Tau,alipoulizwa na wachezaji wenzake sababu ya kutokwenda kutoa huduma yake timu ya Taifa,alijibu bila ya kupepesa macho kuwa:

"I am keeping my energy for Simba,the friendlies that my country is going to play are of no huge significance for the time being compared to our African League...I will just lie that I have patients to attend to and get away with it...I am going exterminate those Simbas"

Hivyo ndo kauli ya mnyetishaji iliyotoka kinywani mwa muuaji huyu.

Ushauri:
Benchi la Simba,pamoja na kuchimbia madawa uwanjani wajitahidi kuziba za ukuta wao wa Yeriko
View attachment 2778006View attachment 2778007

Mabeki waandaliwe kisaikolojia,na wajengwe kuustahimili chenga za maudhi na Kasi ya Percy Muzi Tau

Aliye na nguvu kuliko mwenzie ndo ashinde

#Mpira Bila Mbereko Inawezekana
Kwani simba hawajawi kucheza na al ahly mkuu labda uwatishe utopolo ila ye mwenyewe anajua kama simba sio team ya kitoto
 
Back
Top Bottom