Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
- Thread starter
- #41
Ndo nani huyo?Hiyo ni ID yako pia dogo,, dawa yako ni Mpwayungu Village
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nani huyo?Hiyo ni ID yako pia dogo,, dawa yako ni Mpwayungu Village
Dakika ya 69, tayari ilishakuwa Simba 5-0 Yanga.Ahly wana huruma sana kama mpaka dk ya 40 washakupiga 5 hivi wangesema wa kaze si ulikua msiba wa goli 10 na kuendelea.
Mkuu hii mada hapa siyo sehemu yakeDakika ya 69, tayari ilishakuwa Simba 5-0 Yanga.
Hivi Simba wangesema wakaze, si ulikua msiba mkubwa zaidi?
View attachment 2778129
Hata Simba pia wana huruma sana maana walikua na uwezo wa kumpiga yanga 7 bilaAl Ahyl walikuwa na huruma sana,
Ila nasikia Kwa sasa wamesema mambo ya huruma hawana tena
Sasa ni kipigo mwanzo mwisho
Zile tano tano za kipindi kile ulivyopigwa na Al Ahly na As Vita naona inaandika loading.....Na hata baada ya draw ya makundi kuchezwa walipitia pitia historia ya wapinzani wao wakaziona zile 5 mlizofungwa na simba
Kwani simba hawajawi kucheza na al ahly mkuu labda uwatishe utopolo ila ye mwenyewe anajua kama simba sio team ya kitotoIli kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi
Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy Muzi Tau,alipoulizwa na wachezaji wenzake sababu ya kutokwenda kutoa huduma yake timu ya Taifa,alijibu bila ya kupepesa macho kuwa:
"I am keeping my energy for Simba,the friendlies that my country is going to play are of no huge significance for the time being compared to our African League...I will just lie that I have patients to attend to and get away with it...I am going exterminate those Simbas"
Hivyo ndo kauli ya mnyetishaji iliyotoka kinywani mwa muuaji huyu.
Ushauri:
Benchi la Simba,pamoja na kuchimbia madawa uwanjani wajitahidi kuziba za ukuta wao wa Yeriko
View attachment 2778006View attachment 2778007
Mabeki waandaliwe kisaikolojia,na wajengwe kuustahimili chenga za maudhi na Kasi ya Percy Muzi Tau
Aliye na nguvu kuliko mwenzie ndo ashinde
#Mpira Bila Mbereko Inawezekana