Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo mechi 3 zote ni mechi kubwa,huyo mzize kwenye hizo mechi labda angeanzia benchi dakika za nyongeza.Lakini kiukweli huyo mshkaji Percy kwa game 3 alizocheza kaonyesha kiwango cha mzize tu
Kama unadhani kucheza Al Ahly ni rahisi muulize MiqsoneMohamed Hussein alimlaza na viatu, leo tena ksmasi limemtoka.
Pale Yanga anamuweka nani bench
Kwa mwezi anakinga dola 100,000 kibindoni
wewe hujui mpiraMohamed Hussein alimlaza na viatu, leo tena ksmasi limemtoka.
Pale Yanga anamuweka nani bench
Kwa mwezi anakinga dola 100,000 kibindoni
Uache kutumia ugoroMohamed Hussein alimlaza na viatu, leo tena ksmasi limemtoka.
Pale Yanga anamuweka nani bench
Kwa mwezi anakinga dola 100,000 kibindoni
Game mbili na makolo al ahly walizitawala zote lakini jamaa hakua na maajabuHizo mechi 3 zote ni mechi kubwa,huyo mzize kwenye hizo mechi labda angeanzia benchi dakika za nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mpira ulipigwa na mamelod na hawa jamaa, nikajiuliza mamelod wangecheza na simba wangefungwa hata 10. manake al ahly walionekana hawajui mpira kabisa.Game mbili na makolo al ahly walizitawala zote lakini jamaa hakua na maajabu
Wanao sikiliza mpira kwenye [emoji343] watabisha. Ila umeongea kweli 100%.Kabisa mkuu