Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilicheza live iyo game baada ya dakika 15 tu nikajua al ahly anafungwa nikamuwekea mzigo mamelodkuna mpira ulipigwa na mamelod na hawa jamaa, nikajiuliza mamelod wangecheza na simba wangefungwa hata 10. manake al ahly walionekana hawajui mpira kabisa.
Kwa kutumia hii hoja yako dhaifu basi angekuwa Yanga angefungwa 20 na Mamelod kwakuwa simba huwa anamfunga Yanga hadi goli 5 ,kuna mpira ulipigwa na mamelod na hawa jamaa, nikajiuliza mamelod wangecheza na simba wangefungwa hata 10. manake al ahly walionekana hawajui mpira kabisa.
Mzize kacheza na wababe wa afrika yote ambao ni usm algerHizo mechi 3 zote ni mechi kubwa,huyo mzize kwenye hizo mechi labda angeanzia benchi dakika za nyongeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
TV live coverage imesaidia sana.Lakini kiukweli huyo mshkaji Percy kwa game 3 alizocheza kaonyesha kiwango cha mzize tu
Mchezaji kacheza Mamelodi sundowns, Club brugge, Anderlecht, Brighton and Hove unasema yupo overrated huko kote kapita akiwa overrated?Mohamed Hussein alimlaza na viatu, leo tena kamasi limemtoka.
Pale Yanga anamuweka nani bench?
Kwa mwezi anakinga dola 100,000 kibindoni
Beki Joisi [emoji23]Subiri siku mnacheza na wao uone ni overrated or not.
Hakuna beki wa kumkaba Percy Tau pale YangaBeki Joisi [emoji23]
Kama mchezaji katoka afrika akaenda ulaya halafu akarudi tena afrika huyo kiwango kinaporomoka kila muda unavyoendaMchezaji kacheza Mamelodi sundowns, Club brugge, Anderlecht, Brighton and Hove unasema yupo overrated huko kote kapita akiwa overrated?
Baadae ikawa nini?Jana alikuwa anarukaruka kama maharage sufuriani
Sawa kaenda karudi ila karudi wapi? [emoji23][emoji23]Kama mchezaji katoka afrika akaenda ulaya halafu akarudi tena afrika huyo kiwango kinaporomoka kila muda unavyoenda
Karudi timu ambayo ni ndogo kuliko hizo alizokawepo kabla ukiondoa mamelodySawa kaenda karudi ila karudi wapi? [emoji23][emoji23]