Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Kwa nn uhangaike? Ishu ni kwenda sokoni feri, kamata kitu nguru au ng'onda kisha tupia kwa jiko! Ni zaidi ya hzo tomy jery na gucci zenu
 
Kigogo.,.ni typo hiyo mkuu!
 

Attachments

  • 1400906130772.jpg
    1400906130772.jpg
    19.5 KB · Views: 249
Last edited by a moderator:
Mafuta ya nazi...tu hakuna cha perfume wala fragnance wala cologne!!

Enzi zetu unajipaka sabuni ya lexona tu ..na nguo zako unazitoa kwenye sanduku lenye dawa ya mende ...mwendo mdundo na raba ya Bata
 
Perfume????? Hiyo nini? Mwanamke hela, ukiwa na hela unanukia perfume zote....! Nenda na pumbu zakoo umejpaka perfume perfume zako uone kama utasikilizwa
 
Klabda kikwapa cha siku mbili. Ila ukinukia hela basi hiyo ndo perfum wanayoipenda
 
Mwenekufahamu i wapi hii initaarifu Just Like Me Max na si just call me maxi!
 
Bvlgary, Isaya Miyake.Mad Love.Kenzo. Hizo my wife wangu wow!!
 
Back
Top Bottom