Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

unamaanisha laki ngapi?
Mh! hapa hapanifai!

Mkuu mimi nilinunua laki mbili tena sababu ni mshkaji wangu. We unashangaa hiyo wakati watu wananunua hadi za $800...
 
sasa wadau hivi kweli inawezekana kuziteketeza hizo laki kwa ajili ya utuli , au mnajikweza hapa ili tujue nanyi mko vizuri?
Pesa ya mtaji wa biashara yangu ya supu ya ngozi huo
 
Mkuu mimi nilinunua laki mbili tena sababu ni mshkaji wangu. We unashangaa hiyo wakati watu wananunua hadi za $800...

mkuu! Mihela yote hiyo... Vp kunakuwa na mke ndani yake?
Wacha mi nibaki kwenye za elfu 5-15
nikijifanya kuiga hapa.. ndo mwanzo wa biashara yangu kufirisika
 
mkuu! Mihela yote hiyo... Vp kunakuwa na mke ndani yake?
Wacha mi nibaki kwenye za elfu 5-15
nikijifanya kuiga hapa.. ndo mwanzo wa biashara yangu kufirisika


Ni kweli boss wewe fanya kitu kulingana na uwezo wako. Ukiiga mtu unaweza filisika ati..
 
Mmh cjawah na cpend perfume kbsaa,vp kuhusu sabuni ipi ni nzuri kwa kuogea hasa kwa wanaume isiyochubua ila inazngatia afya
 
Mmh cjawah na cpend perfume kbsaa,vp kuhusu sabuni ipi ni nzuri kwa kuogea hasa kwa wanaume isiyochubua ila inazngatia afya

kwa kipato changu ,naikubali sana PYAR
hii sabun ni noma kwa kudeal na vimelea vya mwili
 
Mie wanawake wanapenda jinsi ninavyonukia na wanadata sana na wananiulizia natumia manukato gani lakin kiukweli mie natumia BRIGHT LITE na MAMUJEE yanatengenezwa TANGA bei bukubuku tu
 
😀😀:thumbup:
 

Attachments

  • 1400659535210.jpg
    1400659535210.jpg
    39.7 KB · Views: 531
Wakati mnajitahidi kunukia kwapani jitahidini kunukia na mifukoni pia. Wanawake/wadada wa siku hizi hata uwe na harufu ya kwapa kama fundi ujenzi watakuita baby tu, na wewe mwenye uturi utapigwa chini.

Mimi mke wangu alinipenda kama nilivyo hayo mengineyo alinifundisha yeye na bado ananielekeza jinsi ya kuwa mume wa kisasa atakavyo yeye na mimi vile vile...
 
sasa wewe ni ke? si wameulizwa wanawake mkuu au hukuelewa mada?
nadhani we unataka kubishana tu,hapo nilikuwa kwenye conversation na mtu mwingine na sikuwa najibu swali aliyouliza mleta mada ila kumjibu member mwingine,umekurupuka nadhani hata jibu uliyoquote hapo unatambua mwenyewe haikumjibu mleta mada ila kumreply member mwingine tofauti.
 
Back
Top Bottom