Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayuuu haaaaaaaa give,VIP duh,ikichoka nishida inabaki kauzi unaweza ikuta kifuani haaaaa
Bila kusahau AYU na GIFT OF ZNZ
Usinikumbushe mbali 1986 wakati perfume za unisex zinaingia pamoja na vyupi vya VIP.
Ni perfume gani ya kiume ambayo harufu yake huwa ina wavutia sana wakina dada ?
Kuna sumu moja inaitwa PRADA ya kiume babu ila jiandae kuanzia laki tatu unusu, pia Yves Saint Laurent nayo ni sumu hiyo Nuit hiyo nayo ukiipata ni kuanzai alaki tatu flani ila ukipata kubwa na kadogo ka kukaa kwenye gari inakwenda kwenye mia tatu sitini flani, ila mzee sumu za kuua hao wadudu zipo kibao in fact ukishaona sumu ipo over laki tano ujue inawamaliza although inategemeana na Kijasho chako mzee.
mimi natumia varsemen rangi ya blue
Hiyo issey miyake kuna version ya wanigeria. Ipo too diluted ukipaka unanukia saa hiyo then inapotea.
Ukipata original inakuwa poa sana.
200,000/- JD PHARMACY....mimi nilinunua DEBENHAMS £39.99.
Mada sio unayotumia, swala ni je ina sumaku?!
Au perfume shop.........