Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Wote mnadanganya hapa, wadada wanavutiwa na harufu ya pesa.

Labda swali lile ni pafyumu gani inanikia vizuri? Lakini siyo kwamba wadada wanapenda harufu kwa mwanaume zaidi ya harufu ya pesa.

Ukisikia hiyo harufu ni signal ya pesa, mie wa mjini mwenzio Preta.

Kumbe ulikuwa unachangamsha barza tu.
 
Ndio maana yake........sasa unadhani nitakufuata ukiwa umejipaka gift of Zanzibar au cobra..........?..........
Pesa sabuni ya roho hata gari ya mwenye pesa ndani inanukia marashi ya ukweli, siyo unapanda mkweche unanukia petrol.
Kumbe ulikuwa unachangamsha barza tu.
Nilikuwa nawapa angalizo watu wengine ni wageni hapa mjini wanaweza kudunduliza wakanunuwa hizo pafyumu siku wakitestiwa kupigwa mzinga wa wekundu watano tu zinaanza aeiou.

Mjini siyo mipango wala mikakati ni mahesabu tu.
 
Wote mnadanganya hapa, wadada wanavutiwa na harufu ya pesa.

Labda swali lile ni pafyumu gani inanikia vizuri? Lakini siyo kwamba wadada wanapenda harufu kwa mwanaume zaidi ya harufu ya pesa.

Ukisikia hiyo harufu ni signal ya pesa, mie wa mjini mwenzio Preta.

Pesa sabuni ya roho hata gari ya mwenye pesa ndani inanukia marashi ya ukweli, siyo unapanda mkweche unanukia petrol.

Nilikuwa nawapa angalizo watu wengine ni wageni hapa mjini wanaweza kudunduliza wakanunuwa hizo pafyumu siku wakitestiwa kupigwa mzinga wa wekundu watano tu zinaanza aeiou.

Mjini siyo mipango wala mikakati ni mahesabu tu.

Ha ha ha ha unanukia Chanel ya 200,000/- ukipigwa mzinga 500,000 ya simu unawaka balaa! Wadada wa mjini wanajua kuthaminisha!
 
Hivi hamna anayetumia hizi nivea za buku 7 humu?

Mbona mimi ndio zangu hizo deodorant? Ila mimi natumia za Rasasi juzi kati pale airport nilimmind security mmoja alivyonizuia kupanda nayo ndani ya ndege kwenye rasket bag yangu kwakuwa sijui imezidi nyokonyoko gani sijui wenyewe wanadai ina 10 percent sijui ya nini! Huruhusiei kuingia nayo ndani ya ndege.

Niliwaachia security lakini roho iliniuma kweli.
 
Mbona mimi ndio zangu hizo deodorant? Ila mimi natumia za Rasasi juzi kati pale airport nilimmind security mmoja alivyonizuia kupanda nayo ndani ya ndege kwenye rasket bag yangu kwakuwa sijui imezidi nyokonyoko gani sijui wenyewe wanadai ina 10 percent sijui ya nini! Huruhusiei kuingia nayo ndani ya ndege.

Niliwaachia security lakini roho iliniuma kweli.
Shikamo matola
 
Nimefika iliyopo York.......na hasa nilizama zaidi Michael Kors na Timberland...........na kidogo Ann Summers (yu no wora amsaying hia)............hi hi hi..........

Unapenda bidhaa za Michael Kors?

Ukweli kwamba yeye ni shoga haikusumbui wewe?

Au maisha yake binafsi ni yake binafsi na hayana uhusiano wowote ule na bidhaa zake?

Manake Watanzania kwa unafiki nadhani tunaweza tukawa tunaongoza.

Unakuta mtu anapinga kabisa ushoga hata kama yeye binafsi haumhusu lakini kwa wakati huo huo ananyuka pamba za Tom Ford ambaye ni shoga wa kujivunia.
 
Toka cardillac black na 100% MAN zipoteee sokoni mm na sprays tu marafiki sana.
 
Back
Top Bottom