masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
jamani msaaada za wanawake zinazomtoa nyoka pangoni ni zipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issey Miyake,L'eau d'issey pour homme! natumia hio sijui unavinjari wapi nijipitishe!
Umenikumbusha kulikuwa na mechi ya kirafiki waalimu na wananchuo wakati huo chuo cha Tanesco-kidatu, teacher mmoja jina kapuni katika harakati za kusaka ushindi akawa anakimbiza ball kutingisha nyavu ile kupachika tu goli kushangilia akavua jezi ya juu akishangilia goli, duh kumbe kyupi aina ya VIP imevuka hadi kifua inakimbilia shingoni na vile inang'aa duh!
Ni shi ngp mkuu!
Jaribu chopard oud malaki na pia davidoff
jamani msaaada za wanawake zinazomtoa nyoka pangoni ni zipi
Duh
Hii perfume in shida
Ukijipulizia Givenchy Organza nitakufuata kila uendapo! Tzs 200,000-250000!
sipendi zenye strong scent am not sure kama zipo
zenye harufu iliyopoa sana
na je kuna ambazo hazina alc by any chance?
Hio haina strong scent, ila harufu ya inavutia sana! Alcohol free zipo sana sana UAE.
Huwa nanunua UK £39.99, ila JD Pharmacy wanazo original haizidi 150,000/-
Huwa nanunua UK £39.99, ila JD Pharmacy wanazo original haizidi 150,000/-
Nitajuaje origino huku nilipo?!
Hyo Jd pharmacy ipo wap.?