Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mlitumia condom?Use miyak, sikumbuki inaandikwaje ila hii perfume iliniachanisha kwa mjamaa aliyetaka kunioa nikamfata, nikiwa field yeye ni afisa hapo ofcn. Yaani nakiri nilivua sketi na kila kitu cha ndani. Perfume tuu, siku hizi sijui kama bado IPO.
tumia zile za kwenye vichupa vidogo zinauzwa sanasana miskitini maeneo ya kariakoo kwa dar bei haizidi jero inategemeana unataka ujazo kiasi gani.
Ahsanta
Nimefika iliyopo York.......na hasa nilizama zaidi Michael Kors na Timberland...........na kidogo Ann Summers (yu no wora amsaying hia)............hi hi hi..........
Use miyak, sikumbuki inaandikwaje ila hii perfume iliniachanisha kwa mjamaa aliyetaka kunioa nikamfata, nikiwa field yeye ni afisa hapo ofcn. Yaani nakiri nilivua sketi na kila kitu cha ndani. Perfume tuu, siku hizi sijui kama bado IPO.
Mie natumia hii mkuu!!
Nani kakwambia pafyum inaondoa uchafu? Pafyumu ni kwa watu watu ambao psychogically wamekosa kujiamini na level yao ya usafi. Generally watumiajì pafumu wana background za uchafu.Watu wengine mnachekesha Sana! Mnashikilia hela hela...wenzenu wana hela halafu wasafi full exposed unafikiri demu atachagua yupi?! Mwenye hela mchafu au mwenye hela msafi?!
Nani kakwambia pafyum inaondoa uchafu? Pafyumu ni kwa watu watu ambao psychogically wamekosa kujiamini na level yao ya usafi. Generally watumiajì pafumu wana background za uchafu.
Nani kakwambia pafyum inaondoa uchafu? Pafyumu ni kwa watu watu ambao psychogically wamekosa kujiamini na level yao ya usafi. Generally watumiajì pafumu wana background za uchafu.
nitajie please....hio list ya chache nilizotumia,sasa hivi natumia issey miyake,212,tommy hilfiger.
Issey Miyake,L'eau d'issey pour homme! natumia hio sijui unavinjari wapi nijipitishe!