Yaani mkuu Matumbo nimeshindwa kukugongea like sijakiona kitufe, umehit the bull aisee.. yaani mabinti wa bongo asilimia kubwa bureeeee kabisa bureeeeee haswa kwenye maswala ya harufu, kuna dada mmoja alikuwa ananuka kikwapa balaa nikawa najiuliza ivi yeye haisikii hiyo harufu na alivo smart vile, nikamuuliza swali la kizushi siku moja kuwa nasikia deodorant za forever living ni nzuri hazina madhara je unanishauri vp kuhusu kumnunulia wife wangu? Akanijibu aahhh mie hizo deodorant wala sijishughulishi nazo najipakia poda tu mie sitaki kansa za makwapa!!!!! Nikapata jibu kwa mashaka yangu,kumbe yeye anapiga poda hajui kwamba jasho likidizi poda huzidiwa na nguvu ya harufu haswa ya jasho la kwapani... nadhani hivi vicheni party wanavopeana wadada embu waambiane na hili la harufu pleaseeeeeeeeeeeeee