Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
yah sometimes,but ndo nayoipenda.
ina smell nzuri..mie napenda mwanaume wangu anukie bana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yah sometimes,but ndo nayoipenda.
ongeza sifuri moja.....hakuna manukato ya maana 20,000 ndugu.....
lol acha uwonga...ila kuanzia dola 50
Unaamanisha laki2... hahaaaaa hata Heaven on earth akinizawadia nitaiuza hata kwa laki1. Huo utakuwa wehu
Siwezi fanya upuuzi huo asilani.Perfume/spray yangu ya KNOWLEDGE ni 5000 tu.
Unaamanisha laki2... hahaaaaa hata Heaven on earth akinizawadia nitaiuza hata kwa laki1. Huo utakuwa wehu
Siwezi fanya upuuzi huo asilani.Perfume/spray yangu ya KNOWLEDGE ni 5000 tu.
Unaamanisha laki2... hahaaaaa hata Heaven on earth akinizawadia nitaiuza hata kwa laki1. Huo utakuwa wehu
Siwezi fanya upuuzi huo asilani.Perfume/spray yangu ya KNOWLEDGE ni 5000 tu.
hii ni loilet za kifaransa,hahahahah!!!
Ukiwa JF epuka kutumia maneno tatanishi...ona sasa umemuita mrembo mwanaume mwenye tunguli mbili na asumani jicho moja...
Uko juu mrembo!!!!
Unaogopa 20000 tu?Tembea mkuu uone dunia!Nenda Sunpharm Pharmacy Mza uone perfume za zaidi ya laki mbili!Na wengine muishio Dar mwambieni huyu ndugu kwani anachekesha...
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Unaamanisha laki2... hahaaaaa hata Heaven on earth akinizawadia nitaiuza hata kwa laki1. Huo utakuwa wehu
Siwezi fanya upuuzi huo asilani.Perfume/spray yangu ya KNOWLEDGE ni 5000 tu.
Harufu zingine zinaleta hadi Nyumonia
utasikiabei yake 20000 mweeh mie mwisho 6000 kununua vitu hivyo.
Mmmmh.......hata eau de Rasasi imepanda bei......ni 15,000 sasa hivi......