Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Perfume gani wanawake wanapenda kuisikia kutoka kwa wanaume?

Kwani, ukiwa tu msafi, unaoga vizuri, nguo hurudi rudii, perfume ni nyongeza tu. but boy spray is common
 
Kipindi hicho kulikuwa pia na perfume kali kama sumu ya nyoka inaitwa Gift of Zanzibar....

Ukiingia kwenye Hall la disco ya sekonari unakuta form 2 wote wamejipulizia kama vile wameioga....

Babu DC!!

hahahhahahhahaha aaa ilikuwa ni for share akiwa nayo mmoja siku kukiwa na disco ama mtoko mnajispray wanola room wote.
 
Perfume ni nini?
Body Spray ni nini?
Cologne ni nini?
Fragrance ni nini?
Deodorant ni nini?


Tunaweza fikiri tunayoyajua kila mtu anayajua
so kwa faida ya wengi tuanze na hapo....

Kuna al oud, kuna body mist. Wajuzi waje watujuze yote hayo.
 
Kwa uelewa wangu kidogo
perfume ni kitu kilichotengenezawa kwa mafuta au spiriti kutoa harufu nzuri.ile harufu nzuri ndio hasa ujulikana kama perfume.
Body spray ni aina ya perfume ambazo zinatumika mojakwamoja kwenye mwili eneo lolote.
Cologne haya ni yale majimaji kwenye perfume na utengenezwa na kilevi/spiriti au mafuta.nyingi hizi utumika kupaka kama after shave.
Deodorant hii ni mafuta au majimaji yanayotumika kuzuia jasho na utoa harufu nzuri.utumika zaidi kwenye sehemu zinazotoa jasho mwilini kama kwenye makwapa.

Fragrance ni aina za perfume bt tofauti zake ukaaji katika mwili au nguo.
De toillatte ni peefume inayokaa mda mfupi ktk nguo au mwili wakati de perfume hii udumu mda mrefu ata ukioga au kufua nguo inaendelea kuwepo.pia ni bei ghali sana.
Majina ya hizi vitu ni kutokana na matumizi yake.
 
Kuna midume inaona eti pafyumu ni ubishoo..unabaki unashangaa Uyu demu wangu nampa kila kitu kwa yule anafuata nini? kumbe jamaa anamkosha kwa vitu kama ivo...mtu ananukia saaaafi hadi raha.
 
Victor&Rolf Spicebomb
Terre d'Hermés (Safi sana hii BAK)
Tomford Noiv
Bleu de Chanel
Armani Black Code
 
Last edited by a moderator:
wewe waonekana mjuzi pia
hebu anza baasi

Ah wapi. Mi mtumiaji mzuri sana wa perfumes na al oud na body mist lkn apo kwenye kujua iki nini na iki nini na vinatumikaje ndo shughuli.

Labda najua perfumes yapuliziwa kwenye nguo, na body mist au body spray ni kwenye bodies.

Body mist unaweza ukapulizia kwenye the whole body mpk vidole vya miguu na inalast the whole day. (origin ones) . Na body spray ni for the armpits and labda shingoni.

Aloud pia ni kwa mwili, na izi hua kama mafuta mazito, hayana spirit, na chupa zake hazina ku spray.

Haya nshaanza, endelea na wewe.

Na kuna perfume nakumbuka inaitwa The Boss ktk perfume best na ghali. Sijui ndo unayotumia wewe?
 
Last edited by a moderator:
Ah wapi. Mi mtumiaji mzuri sana wa perfumes na al oud na body mist lkn apo kwenye kujua iki nini na iki nini na vinatumikaje ndo shughuli.

Labda najua perfumes yapuliziwa kwenye nguo, na body mist au body spray ni kwenye bodies.

Body mist unaweza ukapulizia kwenye the whole body mpk vidole vya miguu na inalast the whole day. (origin ones) . Na body spray ni for the armpits and labda shingoni.

Aloud pia ni kwa mwili, na izi hua kama mafuta mazito, hayana spirit, na chupa zake hazina ku spray.

Haya nshaanza, endelea na wewe.

Na kuna perfume nakumbuka inaitwa The Boss ktk perfume best na ghali. Sijui ndo unayotumia wewe?

perfume inapuliziwa kwenye ''pulse points" kwa mfano shingoni,wrist,nyuma ya masikio,nyuma ya magoti etc....ni zile sehemu ambazo mishipa ya damu iko karibu na ngozi ambapo joto lake llinafanya perfume kunukia

kupulizia kwenye nguo sio sahihi ingawa wengi tunafanya hivyo.......
 
perfume inapuliziwa kwenye ''pulse points" kwa mfano shingoni,wrist,nyuma ya masikio,nyuma ya magoti etc....ni zile sehemu ambazo mishipa ya damu iko karibu na ngozi ambapo joto lake llinafanya perfume kunukia

kupulizia kwenye nguo sio sahihi ingawa wengi tunafanya hivyo.......
Ok, Asante kwa elimu. Ndo tunafundishana hapa
 
Ah wapi. Mi mtumiaji mzuri sana wa perfumes na al oud na body mist lkn apo kwenye kujua iki nini na iki nini na vinatumikaje ndo shughuli.

Labda najua perfumes yapuliziwa kwenye nguo, na body mist au body spray ni kwenye bodies.

Body mist unaweza ukapulizia kwenye the whole body mpk vidole vya miguu na inalast the whole day. (origin ones) . Na body spray ni for the armpits and labda shingoni.

Aloud pia ni kwa mwili, na izi hua kama mafuta mazito, hayana spirit, na chupa zake hazina ku spray.

Haya nshaanza, endelea na wewe.

Na kuna perfume nakumbuka inaitwa The Boss ktk perfume best na ghali. Sijui ndo unayotumia wewe?


siifahamu hiyo labda unioneshe
mi natumia polo sport unaijua?
 
Back
Top Bottom