INAUZWA Perfumes kali za kike na kiume kutoka UAE kwa bei poa

INAUZWA Perfumes kali za kike na kiume kutoka UAE kwa bei poa

Hiyo copy inanukia vizuri kama OG na inadumu kwa muda gani. Yani kwa ufupi elezea faida za copy.
Original ni hata ukifua inadumu kwenye nguo.. ukipuliza kidogo tu inanukia kwa muda mref hata baada ya kufua. Copy hudumu ndani ya 24 hrs
 
Weka picha ya copy na original, pia utueleze copy inatambulika vipi na original inatambulika vipi. Kuandika tu bei haotoshi, kama nikihitaji hiyo original na pengine ukanifungia copy nitajuaje?
Hahah.. kama ningekua naweza kubambikia mtu nisingesema kama kuna copy.. ningeweka moja tu na bei ya original. Kukwambia kuna copy manaake tayar nia yngu ni kutokukubambikia.. copy na original hazina tofaut katika muonekano wa picha
 
Hahah.. kama ningekua naweza kubambikia mtu nisingesema kama kuna copy.. ningeweka moja tu na bei ya original. Kukwambia kuna copy manaake tayar nia yngu ni kutokukubambikia.. copy na original hazina tofaut katika muonekano wa picha
Unasemaje? Hazina tofauti!?
Mkuu unadanganyaa!! Binafsi nimefanikiwa kuona OG, fake 1 na 2… ziko tofautii kabisa
 
Mimi nipo Zanzibar, ila delivery tunafanya Dar, Tanga, Arusha na Tanzania kwa ujumla
Zanzibar sehemu gani? Unguja or Pemba?

Una duka kabisa au ni online business. Tukija Zanzibar tukutafute
 
Hahah.. kama ningekua naweza kubambikia mtu nisingesema kama kuna copy.. ningeweka moja tu na bei ya original. Kukwambia kuna copy manaake tayar nia yngu ni kutokukubambikia.. copy na original hazina tofaut katika muonekano wa picha

Jibu nilichotaka kufahamu acha ukanjanja!
Tueleze unawezaje kutambua og na copy?
Na kama hazina tofauti katika muonekano wa picha wewe uliwezaje kuzitambua?
…nadhani kwanza uweke picha hapa ya og na copy ndio tujue ukweli wako.

Vile vile Cha msingi ninachohitaji kufahamu zaidi ni namna gani ya kutambua og na copy ukiacha na muonekano!
Japokuwa hili swali mfanyabiashara kanjanja anamuambia mteja kitu hiki ni copy na hiki ni original, ila akiulizwa unawezaje kutambua huwa hasemi anajitetea kama ulivyofanya kwa kusema siwezi kukubambikia kwa kuwa nimeshakujuza kuna copy na original.
Sasa kama wewe siyo miongoni mwa makanjanja eleza hapa utambuzi wa copy na og unafanyika vipi katika hizo bidhaa zako ili tukuamini.
 
Jibu nilichotaka kufahamu acha ukanjanja!
Tueleze unawezaje kutambua og na copy?
Na kama hazina tofauti katika muonekano wa picha wewe uliwezaje kuzitambua?
…nadhani kwanza uweke picha hapa ya og na copy ndio tujue ukweli wako.

Vile vile Cha msingi ninachohitaji kufahamu zaidi ni namna gani ya kutambua og na copy ukiacha na muonekano!
Japokuwa hili swali mfanyabiashara kanjanja anamuambia mteja kitu hiki ni copy na hiki ni original, ila akiulizwa unawezaje kutambua huwa hasemi anajitetea kama ulivyofanya kwa kusema siwezi kukubambikia kwa kuwa nimeshakujuza kuna copy na original.
Sasa kama wewe siyo miongoni mwa makanjanja eleza hapa utambuzi wa copy na og unafanyika vipi katika hizo bidhaa zako ili tukuamini.
Watumiaji wa original huwa sio waongeaji hv. Njoo nikuuzie copy ya 35000 kaka.. ni nzuri tu
 
Watumiaji wa original huwa sio waongeaji hv. Njoo nikuuzie copy ya 35000 kaka.. ni nzuri tu

Acha ukanjanja wewe… huwezi kupata wateja huku kwa hiyo style yako ya kujibu!
Hii kauli eti watumiaji wa original si waongeaji ni kauli zinazotolewa na wafanyabiashara wa hovyo wasiojua namna ya kumuelimisha mteja au madalali! Pengine wewe ni dalali na hujui chochote kuhusiana na hizo bidhaa ulizoleta humu ndiyo maana unakwepa kujibu ulichoulizwa!
 
Acha ukanjanja wewe… huwezi kupata wateja huku kwa hiyo style yako ya kujibu!
Hii kauli eti watumiaji wa original si waongeaji ni kauli zinazotolewa na wafanyabiashara wa hovyo wasiojua namna ya kumuelimisha mteja au madalali! Pengine wewe ni dalali na hujui chochote kuhusiana na hizo bidhaa ulizoleta humu ndiyo maana unakwepa kujibu ulichoulizwa!
Sawaa
 
Jibu nilichotaka kufahamu acha ukanjanja!
Tueleze unawezaje kutambua og na copy?
Na kama hazina tofauti katika muonekano wa picha wewe uliwezaje kuzitambua?
…nadhani kwanza uweke picha hapa ya og na copy ndio tujue ukweli wako.

Vile vile Cha msingi ninachohitaji kufahamu zaidi ni namna gani ya kutambua og na copy ukiacha na muonekano!
Japokuwa hili swali mfanyabiashara kanjanja anamuambia mteja kitu hiki ni copy na hiki ni original, ila akiulizwa unawezaje kutambua huwa hasemi anajitetea kama ulivyofanya kwa kusema siwezi kukubambikia kwa kuwa nimeshakujuza kuna copy na original.
Sasa kama wewe siyo miongoni mwa makanjanja eleza hapa utambuzi wa copy na og unafanyika vipi katika hizo bidhaa zako ili tukuamini.
Hili swali ni gumu sana, akiweza kulijibu itathibitisha kua anajua anachokiuza.
 
Back
Top Bottom