INAUZWA Perfumes kali za kike na kiume kutoka UAE kwa bei poa

INAUZWA Perfumes kali za kike na kiume kutoka UAE kwa bei poa

Jibu nilichotaka kufahamu acha ukanjanja!
Tueleze unawezaje kutambua og na copy?
Na kama hazina tofauti katika muonekano wa picha wewe uliwezaje kuzitambua?
…nadhani kwanza uweke picha hapa ya og na copy ndio tujue ukweli wako.

Vile vile Cha msingi ninachohitaji kufahamu zaidi ni namna gani ya kutambua og na copy ukiacha na muonekano!
Japokuwa hili swali mfanyabiashara kanjanja anamuambia mteja kitu hiki ni copy na hiki ni original, ila akiulizwa unawezaje kutambua huwa hasemi anajitetea kama ulivyofanya kwa kusema siwezi kukubambikia kwa kuwa nimeshakujuza kuna copy na original.
Sasa kama wewe siyo miongoni mwa makanjanja eleza hapa utambuzi wa copy na og unafanyika vipi katika hizo bidhaa zako ili tukuamini.
Itoshe kusema wewe sio mnunuzi.... Unataka tu kumharibia mwenzio biashara...wanunuzi wa perfumes wanajua na huwa wananua hizo copy kiroho Safi tu....Sasa mpaka umpe masharti aweke copy na original Kama mnunuzi nenda whatup.
 
Itoshe kusema wewe sio mnunuzi.... Unataka tu kumharibia mwenzio biashara...wanunuzi wa perfumes wanajua na huwa wananua hizo copy kiroho Safi tu....Sasa mpaka umpe masharti aweke copy na original Kama mnunuzi nenda whatup.

Wewe inaonekana ni kilaza! Hivi mtu akiuliza swali kutaka kueleweshwa tofauti ya aina flani ya bidhaa na namna ya kuzitambua ndio kumharibia mtu biashara?

Yaani watu kama wewe, msiotaka kupata au kutoa ufafanuzi kwenye aina flani ya bidhaa ili kuzitofautisha kwa utetezi eti anayeuliza si mnunuzi akili zenu ni hovyo tu!

Wanaotaka kujua hili nililoiliza ni wengi tu humu, kwa nini niende whatsup?
Biashara za sijui ukitaka ufafanuzi zaidi njoo whatsup mara nyingi zimejaa ukanjanja!

Wafanyabiashara vilaza ni wale wasiotaka kutoa maelezo hadharani ya namna ya kutofautisha bidhaa zao hadharani!
Na hili ni kwa sababu wengi hawana ujuzi na bidhaa walizonazo ama pengine bidhaa walizonazo zina magumashi!
Hao wanaonunua pengine bila kuuliza eti sijui copy kiroho safi ni uchaguzi wao kufanya hivyo.

Wewe kama unabidhaa mbili sijui copy na og ni kitu gani kinazuia kusema hii ni copy na hii ni og na tofauti zake ni hizi? Kipi kinakuzuia..?
Mbona wauza simu hili wanaliweka wazi?
 
Wewe inaonekana ni kilaza! Hivi mtu akiuliza swali kutaka kueleweshwa tofauti ya aina flani ya bidhaa na namna ya kuzitambua ndio kumharibia mtu biashara?

Yaani watu kama wewe, msiotaka kupata au kutoa ufafanuzi kwenye aina flani ya bidhaa ili kuzitofautisha kwa utetezi eti anayeuliza si mnunuzi akili zenu ni hovyo tu!

Wanaotaka kujua hili nililoiliza ni wengi tu humu, kwa nini niende whatsup?
Biashara za sijui ukitaka ufafanuzi zaidi njoo whatsup mara nyingi zimejaa ukanjanja!

Wafanyabiashara vilaza ni wale wasiotaka kutoa maelezo hadharani ya namna ya kutofautisha bidhaa zao hadharani!
Na hili ni kwa sababu wengi hawana ujuzi na bidhaa walizonazo ama pengine bidhaa walizonazo zina magumashi!
Hao wanaonunua pengine bila kuuliza eti sijui copy kiroho safi ni uchaguzi wao kufanya hivyo.

Wewe kama unabidhaa mbili sijui copy na og ni kitu gani kinazuia kusema hii ni copy na hii ni og na tofauti zake ni hizi? Kipi kinakuzuia..?
Mbona wauza simu hili wanaliweka wazi?
Style ya uulizaji wako imekaa kisharishari na ujuaji mwingi... Pole kama nimekukwaza.
 
Wewe inaonekana ni kilaza! Hivi mtu akiuliza swali kutaka kueleweshwa tofauti ya aina flani ya bidhaa na namna ya kuzitambua ndio kumharibia mtu biashara?

Yaani watu kama wewe, msiotaka kupata au kutoa ufafanuzi kwenye aina flani ya bidhaa ili kuzitofautisha kwa utetezi eti anayeuliza si mnunuzi akili zenu ni hovyo tu!

Wanaotaka kujua hili nililoiliza ni wengi tu humu, kwa nini niende whatsup?
Biashara za sijui ukitaka ufafanuzi zaidi njoo whatsup mara nyingi zimejaa ukanjanja!

Wafanyabiashara vilaza ni wale wasiotaka kutoa maelezo hadharani ya namna ya kutofautisha bidhaa zao hadharani!
Na hili ni kwa sababu wengi hawana ujuzi na bidhaa walizonazo ama pengine bidhaa walizonazo zina magumashi!
Hao wanaonunua pengine bila kuuliza eti sijui copy kiroho safi ni uchaguzi wao kufanya hivyo.

Wewe kama unabidhaa mbili sijui copy na og ni kitu gani kinazuia kusema hii ni copy na hii ni og na tofauti zake ni hizi? Kipi kinakuzuia..?
Mbona wauza simu hili wanaliweka wazi?
Naunga mkono hoja
 
Jibu nilichotaka kufahamu acha ukanjanja!
Tueleze unawezaje kutambua og na copy?
Na kama hazina tofauti katika muonekano wa picha wewe uliwezaje kuzitambua?
…nadhani kwanza uweke picha hapa ya og na copy ndio tujue ukweli wako.

Vile vile Cha msingi ninachohitaji kufahamu zaidi ni namna gani ya kutambua og na copy ukiacha na muonekano!
Japokuwa hili swali mfanyabiashara kanjanja anamuambia mteja kitu hiki ni copy na hiki ni original, ila akiulizwa unawezaje kutambua huwa hasemi anajitetea kama ulivyofanya kwa kusema siwezi kukubambikia kwa kuwa nimeshakujuza kuna copy na original.
Sasa kama wewe siyo miongoni mwa makanjanja eleza hapa utambuzi wa copy na og unafanyika vipi katika hizo bidhaa zako ili tukuamini.
Huna lugha nzuri pia unaonekana unataka ashindwe ujione wewe ndio mjanja na Bora.

Kutangaza kitu na kukitolea ufafanuzi ni skills sio Kila mtu anaijua hasa hasa Kwa maandishi ndio maana sales na marketing ni professional kama nyingine ambayo wafanyabiashara wengi wadogo hawana.

Kua muungwana na ungeuliza in a positive way hata yeye angehangaika kukupatia majibu. Unamwita kanjanja na kumdhihaki kisa Ego Yako ujiskie wewe vizuri na kujiona smart.

Sometimes unakutana na mfanyabiashra anauza vitu na vingine hana knowledge ya kutosha kuhusu hivo vitu na unanunua kwake na kumfundisha unamfundisha kuhusu bidhaa zake mwenyewe mwsho wa siku anakuheshimu sana.
 
Huna lugha nzuri pia unaonekana unataka ashindwe ujione wewe ndio mjanja na Bora.

Kutangaza kitu na kukitolea ufafanuzi ni skills sio Kila mtu anaijua hasa hasa Kwa maandishi ndio maana sales na marketing ni professional kama nyingine ambayo wafanyabiashara wengi wadogo hawana.

Kua muungwana na ungeuliza in a positive way hata yeye angehangaika kukupatia majibu. Unamwita kanjanja na kumdhihaki kisa Ego Yako ujiskie wewe vizuri na kujiona smart.

Sometimes unakutana na mfanyabiashra anauza vitu na vingine hana knowledge ya kutosha kuhusu hivo vitu na unanunua kwake na kumfundisha unamfundisha kuhusu bidhaa zake mwenyewe mwsho wa siku anakuheshimu sana.
Kuna tusi nimemtukana? Kanjanja ni tusi ee?
Unasikitisha mkuu, hivi wewe unaona kuuliza na kutaka ufafanuzi wa nilichokitaka ni kushindana?
Lakini vile vile Wewe umedandia tu mada…!!
Hiki ndio nilichomuuliza mwanzo kabisa.
IMG_2672.jpg

Kama hana ujuzi si angesrma tu hajui?
Tatizo lenu watu kama wewe unataka wenzio anapohitaji kununua bidhas flani basi anapopewa majibu mepesi akubaliane nayo tu. Na hili me nalitambua, wafanyabiashara makanjanja wasio na ujuzi wanaobambikia watu bidhaa hawapendi kuulizwa maswali ya kudodosa wanakasirika na mwisho huishia kumwambia mteja eti siyo mnunuzi na hapendi pengine kuelimishwa.

Hili mimi nimemuuliza ni very positve way ili kama anajua nilichomuuliza ajibu, ama kama kuna mwingine mwenye majibu ayatoe kwa manufaa ya wote.
 
Kuna tusi nimemtukana? Kanjanja ni tusi ee?
Unasikitisha mkuu, hivi wewe unaona kuuliza na kutaka ufafanuzi wa nilichokitaka ni kushindana?
Lakini vile vile Wewe umedandia tu mada…!!
Hiki ndio nilichomuuliza mwanzo kabisa.
View attachment 2200091
Kama hana ujuzi si angesrma tu hajui?
Tatizo lenu watu kama wewe unataka wenzio anapohitaji kununua bidhas flani basi anapopewa majibu mepesi akubaliane nayo tu. Na hili me nalitambua, wafanyabiashara makanjanja wasio na ujuzi wanaobambikia watu bidhaa hawapendi kuulizwa maswali ya kudodosa wanakasirika na mwisho huishia kumwambia mteja eti siyo mnunuzi na hapendi pengine kuelimishwa.

Hili mimi nimemuuliza ni very positve way ili kama anajua nilichomuuliza ajibu, ama kama kuna mwingine mwenye majibu ayatoe kwa manufaa ya wote.
Mimi nauza perfume huu mwaka wa 5, naijua hii biashara vzuri sana, na nawajua pia wateja na ambao sio wateja. Ukiwa nyuma ya keyboard kwakua humuoni unayemjibisha unaandika tu kupitia EGO, ni uwanja wako, tamba tu. Ila kwakua wewe sio miongoni mwa wateja wa perfume, nimekupuuza. Samahani kwa kukwambia hivyo!.

Nakaribisha wateja na watapokea response nzuri tu kutoka kwetu!
 
Mimi nauza perfume huu mwaka wa 5, naijua hii biashara vzuri sana, na nawajua pia wateja na ambao sio wateja. Ukiwa nyuma ya keyboard kwakua humuoni unayemjibisha unaandika tu kupitia EGO, ni uwanja wako, tamba tu. Ila kwakua wewe sio miongoni mwa wateja wa perfume, nimekupuuza. Samahani kwa kukwambia hivyo!.

Nakaribisha wateja na watapokea response nzuri tu kutoka kwetu!

Kwa haya majibu, mimi siyo kwamba nimekupuuza tu bali nimekudharau mno. Huna unachojua kuhusu perfume, ingelikuwa unaijua hiyo biashara ungejibu nilichokuuliza hapo awali usingeacha mjadala uende mbali!
Na kwa style yako hii humu jf huwezi kupata mteja hata wa kukukopa…!!
Kiufupi ni kwamba mimi ni mtumiaji na mnunuzi wa cologne.
 
Kwa haya majibu, mimi siyo kwamba nimekupuuza tu bali nimekudharau mno. Huna unachojua kuhusu perfume, ingelikuwa unaijua hiyo biashara ungejibu nilichokuuliza hapo awali usingeacha mjadala uende mbali!
Na kwa style yako hii humu jf huwezi kupata mteja hata wa kukukopa…!!
Kiufupi ni kwamba mimi ni mtumiaji na mnunuzi wa cologne.
Endelea kutumia.. au umezuiwa?
 
Wewe inaonekana ni kilaza! Hivi mtu akiuliza swali kutaka kueleweshwa tofauti ya aina flani ya bidhaa na namna ya kuzitambua ndio kumharibia mtu biashara?

Yaani watu kama wewe, msiotaka kupata au kutoa ufafanuzi kwenye aina flani ya bidhaa ili kuzitofautisha kwa utetezi eti anayeuliza si mnunuzi akili zenu ni hovyo tu!

Wanaotaka kujua hili nililoiliza ni wengi tu humu, kwa nini niende whatsup?
Biashara za sijui ukitaka ufafanuzi zaidi njoo whatsup mara nyingi zimejaa ukanjanja!

Wafanyabiashara vilaza ni wale wasiotaka kutoa maelezo hadharani ya namna ya kutofautisha bidhaa zao hadharani!
Na hili ni kwa sababu wengi hawana ujuzi na bidhaa walizonazo ama pengine bidhaa walizonazo zina magumashi!
Hao wanaonunua pengine bila kuuliza eti sijui copy kiroho safi ni uchaguzi wao kufanya hivyo.

Wewe kama unabidhaa mbili sijui copy na og ni kitu gani kinazuia kusema hii ni copy na hii ni og na tofauti zake ni hizi? Kipi kinakuzuia..?
Mbona wauza simu hili wanaliweka wazi?
Its true, kama muuzaji hawezi kuzitofautisha utakuwa vipi na uhakika kuwa anachokiuza ni og? Na hii sio kwenye perfume tu ni kwenye bidhaa nyingi.
 
Wewe inaonekana ni kilaza! Hivi mtu akiuliza swali kutaka kueleweshwa tofauti ya aina flani ya bidhaa na namna ya kuzitambua ndio kumharibia mtu biashara?

Yaani watu kama wewe, msiotaka kupata au kutoa ufafanuzi kwenye aina flani ya bidhaa ili kuzitofautisha kwa utetezi eti anayeuliza si mnunuzi akili zenu ni hovyo tu!

Wanaotaka kujua hili nililoiliza ni wengi tu humu, kwa nini niende whatsup?
Biashara za sijui ukitaka ufafanuzi zaidi njoo whatsup mara nyingi zimejaa ukanjanja!

Wafanyabiashara vilaza ni wale wasiotaka kutoa maelezo hadharani ya namna ya kutofautisha bidhaa zao hadharani!
Na hili ni kwa sababu wengi hawana ujuzi na bidhaa walizonazo ama pengine bidhaa walizonazo zina magumashi!
Hao wanaonunua pengine bila kuuliza eti sijui copy kiroho safi ni uchaguzi wao kufanya hivyo.

Wewe kama unabidhaa mbili sijui copy na og ni kitu gani kinazuia kusema hii ni copy na hii ni og na tofauti zake ni hizi? Kipi kinakuzuia..?
Mbona wauza simu hili wanaliweka wazi?
Punguza ujuaji!!
 
Kwa haya majibu, mimi siyo kwamba nimekupuuza tu bali nimekudharau mno. Huna unachojua kuhusu perfume, ingelikuwa unaijua hiyo biashara ungejibu nilichokuuliza hapo awali usingeacha mjadala uende mbali!
Na kwa style yako hii humu jf huwezi kupata mteja hata wa kukukopa…!!
Kiufupi ni kwamba mimi ni mtumiaji na mnunuzi wa cologne.
Simple mbona hii ishu...nenda youtube kuna video kibao za kutofautisha fake na real Sauvage
 
Back
Top Bottom