Perspective, KDF soldiers in pictures, advanced military in EA

Kweli ila nikikumbuka kwenye ile supermarket iliyo vamiwa na maharamia halafu wakaitwa jeshi wakaingia na kila mwana jeshi akatoka na mifuko imejaa bidhaa yaani hapo mjini tuu hivyo je wakiwa porini si wata beba hadi mihogo ya watu......
 
Nawasifu sana jeshi la Kenya. Kama kuna jambo mmefanikiwa ni kuwadhibiti barabara Al-Shabab hivi sasa Somalia inaelekea kuwa taifa tulivu na uharamia wa baharini umekoma kabisa

Issue ya Somalia kuna factors nyingi ikiwemo vita ni ya muda mrefu toka enzi ya Operation Hawk Down 1991/92
Ni miaka 26 Sasa
Makamanda wa vita kama Gen MOHAMED farah aideed au Gen Mahdi washazeeka in 80s , vijana walioanza ile vita wengi wamekufa,walemavu au kuzeekaa na vijana wa kisomali walio ground leo asilimia kubwa wamezaliwa baada ya vita kwahiyo the cause of struggle inapotea kwa nguvu toka kwenye kuchukua mamlaka ya nchi baada ya Siad barre kukimbia hadi kwenye kuibuka kwa vikundi vya kiukooo ambavyo havipigani Pamoja na lengo zaidi ni kujitenga kimaeneo na kujitangazia uhuru na vingine vinapigana kwa influrnce ya makundi ya kigaidi kama Al quaida ambayo nayo yamezidiwa nguvu
Kenya zaidi ya kulinda mpaka wake na Somalia haijasogea Sana Ndani
Lakini pia siku Somalia ikiwa moja Kenya wana tatizo Sugu la mpaka na Somalia ardhi na baharini
Na watakuwa wanaomba Somalia iendelee kutotawalika Tayari Somalia wako mahakama ya dunia kulalamika lakini huenda wangekua na nguvu wangepigana tatizo hata hiyo SERIKALI ya muda ya Somalia Ina makazi yake Kenya na Viongozi wake wako kwenye payroll ya Kenya jambo lingine linalowauzi wasomalia walio Ndani ya nchi au Ngambo
 
Angalia hapo kwanza kabla hujaleta ushuzi hapa
 
wewe nani kakuambia hatuna silaha za kisasa au unaamua kuongea tu kama msemaji wa jeshi? tulia waache hao wafanye show off kama kawaida yao isikuumize sana
 
ivyo vifaa vyenyewe rais wao alienda kuomba marekani kwa ajili ya operation ya somalia ili kupambana na alshaaby na silaha nyingine kutoka kwa foreign base za uk na usa zilizopo kenya wakimalizia mda wao wanatupia malipumbukeni matokeo yao matumizi yanawapiga chenga
 
Angalia huyo watz kavaa NVG mchana!

hio ni list ya ma blogger, jamaa anajitungia tu kulingana na licha apatazo mtandaoni, kuna wale pathfinders kutoka SA, hao ndo wakali zaidi Afica nzima

the only place majeshi yanakua ranked scientifically ni global firpower na hata hao hua wanashindwa ku rank vizuri kwasababu kuna data zengine hawana
African Powers Ranked by Military Strength
 
BTW, this is what you see when you use the goggles during daytime


upper left is what you see with naked eyes.

upper right is what you see using regular binoculars. .

the two lower pics is what you see using flir or thermal imaging
 
Kwahiyo Mkuu Tanzania tumeipita mpaka China?
 
Jeshi halina nidhamu, jeshi linaiba mall. Jeshi linaogopa kuingia ndani ya mall mpaka watu wanatokomea, yaani mpaka swala ya usiku wamefanyia mall. Hovyo kabiss KDF kwenye upande battle ila kwa vifaa nawapa credit.
 
Jeshi halina nidhamu, jeshi linaiba mall. Jeshi linaogopa kuingia ndani ya mall mpaka watu wanatokomea, yaani mpaka swala ya usiku wamefanyia mall. Hovyo kabiss KDF kwenye upande battle ila kwa vifaa nawapa credit.
Afadhali walio iba juice na biskuti kuliko wale special forces wenu wanao baka watoto wadogo wanaofaa kulindwa...... kiasi cha kua ikalazimisha wanajeshi wote wa Tz kufungiwa kambini.... The first ever UN peaceEnforcement and Tanzania ruined its reputation....


-------
The UN mission in the DRC announced that it had received allegations of sexual exploitation and abuse by members of the Tanzanian contingent attached to the MONUSCO Force Intervention Brigade in Mavivi village in the eastern part of DRC.
According to preliminary information, there are 11 such allegations against the Tanzanian troopers in the area, all of them involving paternity claims.
The implicated soldiers have been detained awaiting the further UN investigation while the whole Tanzanian troop has also been confined to the brigade’s base station. Meanwhile, a top UN official on sexual abuse is expected to arrive in the region soon.
https://ippmedia.com/en/news/tanzanian-soldiers-drc-arrested-over-sex-abuse



----
mlitumwa drc kupigana na child soldiers, badala yake mkaenda ku rape child victimes na kuwachia majeshi ya SA kupigana vita
 
Kijana usilete vita ya mawe wakati nyumba yako ni ya ovyo ovyo

Kenyan soldiers forcing somali women roll in mud..& raping

Human Rights Watch released a statement Thursday accusing Kenyan security forces of abusing Kenyan Somalis and Somali refugees in northeastern Kenya, particularly in the provincial capital and around the Dadaab refugee camp

Kenyan soldiers forcing somali women roll in mud..& raping - SomaliNet Forums
 
Haya mnayafanya ndani ya nchi yenu kabisa kubaka watoto wa kiislam

A Muslim woman has claimed two KDF soldiers attacked her after she refused to have sex with them.


The woman, Aisha Mohamed, 19, told The Nairobian that on the night of Idd ul Adha celebrations (September 1), at around 11pm, she was enjoying drinks with her pals at a popular nightclub near the Kenya Defence Forces barracks.


Did two KDF soldiers attempt to rape Coast woman?
 
Report implicates Kenyan military in sugar smuggling racket in Somalia



Kenya's army is involved in a $400-million sugar smuggling racket in Somalia that also funds the Al-Qaeda militants it is supposed to be fighting, a report alleged Thursday. Far from fighting the Shebab, Al-Qaeda's East Africa affiliate, the Kenya Defence Forces (KDF) are, "in garrison mode, sitting in bases while senior commanders are engaged in corrupt business practices," said the investigation by Nairobi's Journalists for Justice rights group. The report is based on months of research conducted in Somalia and Kenya, including interviews with serving Kenyan officers, United Nations officials, Western intelligence sources, sugar traders, porters and drivers.

The report also accused Kenyan troops of "widespread" human rights abuses -- including rape, torture and abduction -- and conducting air strikes "targeting crowds of people and animals" rather than the militant training camps it claims to bomb.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…