Perspective, KDF soldiers in pictures, advanced military in EA

Perspective, KDF soldiers in pictures, advanced military in EA

Na wakifika DRC wanafukuzwa mbio na wanamgambo watoto waliojiami kwa mapanga.
Picha sio kupigana. Katika hostoria ya vita hamjawahi kupigana na kushinda vita hata moja. Alishababu wamawatia aibu sana. Wamewapiga kwenye kambi yenu mmeshindwa hata kujitetea, mamia ya wanajeshi wenu wameua na alishababu kwenye shambulio hilo huku serikali ikiona aibu kusema idadi kamili kwaajili ya usalama. Mmepigwa kama kuku. Watanzania wameweza kuwamaliza M23 Ndani ya usiku mmoja. Watanzania 14 walioua DRC ni unexpected ambush ambayo katika mausala ya medani za kivita haizuiliki hata huvyo wataalam wa masuala ya kivita wanasema kama jeshi la Tanzania lisingekuwa imara wangeua wote. Kingine kilichochangia kuuawa ni waasi walikuwa na silaha kali kuliko Watanzania na hii si kwakuwa Tanzania haina silaha zaidi yao la hasha hii ni kwasababu ya mandate ya UN inakataza nchi kuja na silaha za aina fulani ila sasa Tanzania imelalamika kwa UN na kifungu hicho kimebadilishwa na kuongezewa silaha kali za kivita. Stay tuned.
 
DdsBtQ9VMAIrjV2.jpg
6489694_csg7nxkae3wib_jpeg33236c3e52bab11e0d351b399dc6d897
6668636_346593875816680_jpg55cc746b31f06cc048eded7802154f31
DAHd-Z6VwAAvs73.jpg
DAKtKndUMAI7XkB.jpg
6094514_a0612b231eb441f6aa265fe1ee2f84ce_jpeg_jpeg3f4ad32ea993bfb6509bd7a896cdd93d
6136308_screenshot201710202310031_jpeg1fa0a8e6ac5ff32303e82be886ec925b
6265868_160913fex835312_jpeg5e3093658a76e63e10b4ff8f4c479643
https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2016/10/119965_2b0397e56fae11b89359c0e668840dc5.jpeg
6013010_liboimh1_jpeg061723bb98588c964e4b10af6f73faae
5539910_238_jpeg9f1968cee17338e4bbd960bae74956f1
DNtp2XwUIAEuX2R.jpg
5296751_fbimg1494491860537_jpeg00614660c3d5b52e46633bafbe0e42fc
5296752_download_jpeg9e044ea0ed5817381b189680f392bafe
5330807_img20170517wa00021_jpegaa139f2702031e14e9c3a3de68d78409
huey910.jpg
6113335_dmqm5umx4aex1r_jpegdf1e429577e6ce54daed30157b10c247
https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2016/04/99201_3db98a4c8a37f7a4d1d16a70e051eae1.jpg
1199673.jpg
Ubora wa jeshi sio picha wakiwa kazini,taja operations walizofanya wakafanikiwa,
Alshababy wamefikia wapi?
JWTZ,tumekomboa nchi zote kusini wa sahara,sasa tupo Congo,M23 turisambaratisha wote,KDF operation gani mmefanya,mkafanikiwa?
 
Ubora wa jeshi sio picha wakiwa kazini,taja operations walizofanya wakafanikiwa,
Alshababy wamefikia wapi?
JWTZ,tumekomboa nchi zote kusini wa sahara,sasa tupo Congo,M23 turisambaratisha wote,KDF operation gani mmefanya,mkafanikiwa?
baada yenu kukombolewa na mzungu muingereza kutoka idi amin
 
Picha sio kupigana. Katika hostoria ya vita hamjawahi kupigana na kushinda vita hata moja. Alishababu wamawatia aibu sana. Wamewapiga kwenye kambi yenu mmeshindwa hata kujitetea, mamia ya wanajeshi wenu wameua na alishababu kwenye shambulio hilo huku serikali ikiona aibu kusema idadi kamili kwaajili ya usalama. Mmepigwa kama kuku. Watanzania wameweza kuwamaliza M23 Ndani ya usiku mmoja. Watanzania 14 walioua DRC ni unexpected ambush ambayo katika mausala ya medani za kivita haizuiliki hata huvyo wataalam wa masuala ya kivita wanasema kama jeshi la Tanzania lisingekuwa imara wangeua wote. Kingine kilichochangia kuuawa ni waasi walikuwa na silaha kali kuliko Watanzania na hii si kwakuwa Tanzania haina silaha zaidi yao la hasha hii ni kwasababu ya mandate ya UN inakataza nchi kuja na silaha za aina fulani ila sasa Tanzania imelalamika kwa UN na kifungu hicho kimebadilishwa na kuongezewa silaha kali za kivita. Stay tuned.
Picha sio kupigana. Katika hostoria ya vita hamjawahi kupigana na kushinda vita hata moja. Alishababu wamawatia aibu sana. Wamewapiga kwenye kambi yenu mmeshindwa hata kujitetea, mamia ya wanajeshi wenu wameua na alishababu kwenye shambulio hilo huku serikali ikiona aibu kusema idadi kamili kwaajili ya usalama. Mmepigwa kama kuku. Watanzania wameweza kuwamaliza M23 Ndani ya usiku mmoja. Watanzania 14 walioua DRC ni unexpected ambush ambayo katika mausala ya medani za kivita haizuiliki hata huvyo wataalam wa masuala ya kivita wanasema kama jeshi la Tanzania lisingekuwa imara wangeua wote. Kingine kilichochangia kuuawa ni waasi walikuwa na silaha kali kuliko Watanzania na hii si kwakuwa Tanzania haina silaha zaidi yao la hasha hii ni kwasababu ya mandate ya UN inakataza nchi kuja na silaha za aina fulani ila sasa Tanzania imelalamika kwa UN na kifungu hicho kimebadilishwa na kuongezewa silaha kali za kivita. Stay tuned.
Kwani mbeleni mlikuwa mmejiami kwa mapanga mlipovumburushwa na wanamgambo watoto waliokuwa na mapanga pia?

Britain aids Tanzania in toppling Amin

2008 invasion of Anjouan

Nionyeshe vita mlishinda wenyewe bila usaidizi wa nje.
 
Ubora wa jeshi sio picha wakiwa kazini,taja operations walizofanya wakafanikiwa,
Alshababy wamefikia wapi?
JWTZ,tumekomboa nchi zote kusini wa sahara,sasa tupo Congo,M23 turisambaratisha wote,KDF operation gani mmefanya,mkafanikiwa?
m23 Ata south Sudan watawamaliza...hii ujinga ya kutaja taja bushmen mtawacha
 
nadhani al shabaab ingeivamia bongo ingechukua masaa manne kufika dar toka somalia. bongo muwe na asante Kenya tunamlinda kila uchao
 
Wakenya mnachekesha sana. Sijaona kitu chochote cha maana hapo.
Nionesheni kijana Askari yeyote toka Kenya mwenye vitu kama hivi.

ot%2Bpic-8269-2.jpg


Hizi hapa ni gun za operation (Uzi) Nawaona wakenya wanamabunduki ya kizamani ndiyo maana kwenye operation ya west gate mlishindwa. Tafuteni vitu kama hivi hapa chini.
16.jpg
 
Nawasifu sana jeshi la Kenya. Kama kuna jambo mmefanikiwa ni kuwadhibiti barabara Al-Shabab hivi sasa Somalia inaelekea kuwa taifa tulivu na uharamia wa baharini umekoma kabisa
Wanaotakiwa kusifiwa ni uganda.
Angalia hapa:-

upload_2018-6-2_12-45-20.png


upload_2018-6-2_12-46-19.png


upload_2018-6-2_12-48-7.png
 
Wanaotakiwa kusifiwa ni uganda.
Angalia hapa:-

View attachment 792088

View attachment 792089

View attachment 792091[/QUO
1.Kdf was not initially part of the amisom it joined later.
2.Operation Linda inchi was very successful in fact kdf took most areas that were initially under alshabaab and non of this areas have been retaken back by alshabaab.
3.Kdf controls the biggest area in somalia despite a smaller force.Uganda were only operating around Mogadishu airport untill the entry of kdf in somalia
4.Uganda,Ethiopia,Burundi and Others had been in somalia long before kenya but no major progress had been seen in fact the US had once tried to invade but they suffered a terrible blow
5.Through kenyas effort most of Somalia has been liberated from alshabaab infact we captured Port city of Kismayu where many forces had failed before .
6.Kdf entry into Somalia was a game changer even to the worlds view on somalia.
 
Wakenya mnachekesha sana. Sijaona kitu chochote cha maana hapo.
Nionesheni kijana Askari yeyote toka Kenya mwenye vitu kama hivi.

ot%2Bpic-8269-2.jpg


Hizi hapa ni gun za operation (Uzi) Nawaona wakenya wanamabunduki ya kizamani ndiyo maana kwenye operation ya west gate mlishindwa. Tafuteni vitu kama hivi hapa chini.
16.jpg
The gun in the first pic is not an Uzi its a Tavor.
In fact Uzi is an outdated gun most militaries and police forces replaced uzi with MP 5 which is more efficient than the Uzi.
 
Jeshi liko imara... Imefanyiwa testing,, si kama ile ya display. Ati wanatuonyesha mtu amevaa miwani akiwa amekunja sura ati special force. Haha.. Hata mbuzi hukunja sura
Si ndio wale walioiba vitu pale westgate?? Ama hawa ni tofauti!
 
Jeshi ni ushujaa na ujasiri kitu muhimu sana......ndiyo maana Germany ya Hitler licha ya kuwa na advance weapon ktk dunia ile lakini alipigwa na Soviet ambayo haikuwa na nguvu sana miaka hiyo

Kaulize Marekani na vita yao na Vietnam

Unaweza ukawa na advanced weapon lkn mwisho askari wako waka abandon hzo na kukimbia AK-47 tu.
 
The gun in the first pic is not an Uzi its a Tavor.
In fact Uzi is an outdated gun most militaries and police forces replaced uzi with MP 5 which is more efficient than the Uzi.
Nani kakuambia hiyo hapo juu ni Uzi. Nimekueleza hizo hapo chini.
 
Jeshi la Kenya wako well armed , trained , disciplined , well equipped but kwenye ground sijui kwanini sio wazuri kihivyo pengine kuna hidden issues kama corruption na trabalism vinashusha morale yao
 
Kwa upande wa vifaa hongereni sana Kenya.

Tanzania tunapaswa kuiga wenzetu, kuliacha jeshi lijikite ktk mambo yake zaidi na sio kuliingiza ktk siasa. Ni aibu kubwa hata meli tunazotumia tumepewa msaada na china, ndege pia tumesaidiwa. Ifike kipindi na sisi pia tujitegemee na kununua vifaa bora.

Hata ajira ndani ya Jeshi letu zinapaswa kutolewa kwa kutazama utayari wa mtu na profession za watu. Tuache mambo ya kuajiri watu walosoma, sehemu hii hata jeshi la polisi linahusika pia.
Stupid, you know nothing.
 
Back
Top Bottom