Dr.dennice
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 216
- 48
Lenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating systemSpecification za pc yako kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating systemSpecification za pc yako kwanza
Yaan linacheza fresh sema Lina stack stackLenovo core i5 200u@2.2oghz 64 bit operating system
jiunge bando la usiku.
Inatakiwa iwe ngapgpu umeicheki? Nahisi itakuwa ndio shida.
unawajua VODA au UNAWASIKIA..?? sijui nina balaanao gani unakuta unaweka moderm ipo on.. baada ya dk 30 unaikuta imezima... kama ukijisahau tu.. unapitiliza hadi asbh alaf unakuta only 2gb downloadedmkuu mbona sumple tu unaset mitambo kisha unaenda kulala ukiamka kesho yake wewe ni kuinistall tu.
Simu huna uikonect au njoo nikupe. Kama uko dar.unawajua VODA au UNAWASIKIA..?? sijui nina balaanao gani unakuta unaweka moderm ipo on.. baada ya dk 30 unaikuta imezima... kama ukijisahau tu.. unapitiliza hadi asbh alaf unakuta only 2gb downloaded
nitatumia HALOTEL..
upo wap mkuu nijeSimu huna uikonect au njoo nikupe. Kama uko dar.
aah kumbe hapo HATA kwa mguu NAKUJAmbali kidogo ukonga mombasa.
Fps ngapi?Mkuu umewahi cheza game yyt kwenye pc yenye core i7 na gpu ya nvidia 950 + au gtx 1050 +?
Tangu niijue utamu wa become a legend. Now nishasahau master league, mara ya mwisho nilikuwa kocha wa boca junior.Mkuu nkajua mambo haya upo vzuri sana ndo raha yetu hii Mkuu mm nacheza 2017 tho lina patch ya 2017 na jezi bt master league inanipotezea mda....nipo 2065
Punguza graphics mkuu, inakubaliaaah now days naona nao wanazingua kuanzia walivyotoa pes2018. Wanawaiga fifa viwango vinakuwa vikubwa mno kiasi wenye mashine za kawaida tunakwama.