PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Hivi wakuu kuna game ya Pooltable ya PS3 kweli?
Nishaitafuta sana siipati
 
Anae jua jua game nataka battle PS4 dar nzima napiga
 
Mkuu Chief-Mkwawa samahani kwa usumbufu....

Je kati ya Ps4 na gaming PC ipi ni option nzuri??

Kama ni Pc, je ni ipi yenye uwezo wa kusukuma FiFa21, atleast na ambayo unahisi itaweza sukuma fifa22 mwakani

Pc nitahitaji Used.

Bajeti yangu ni 700k....

Asante
 
Mkuu Chief-Mkwawa samahani kwa usumbufu....

Je kati ya Ps4 na gaming PC ipi ni option nzuri??

Kama ni Pc, je ni ipi yenye uwezo wa kusukuma FiFa21, atleast na ambayo unahisi itaweza sukuma fifa22 mwakani

Pc nitahitaji Used.

Bajeti yangu ni 700k....

Asante
Kikawaida mkuu pc ni nzuri zaidi sema toka haya majanga ya Bitcoin yaje Gpu hazipatikani kabisa na ukiipata gpu ya 100,000 utauziwa 500,000.

Labda utafute laptop yenye dedicated gpu hii used angalau unaweza pata kwa bei reasonable, Fifa sio game zito sana, pc yenye low end gpu kama hizi mx series itacheza.

Otherwise nunua ps4 yenye version chini ya 9, Hack ama tafuta mtaalam ai hack kisha download tu games zako.
 
Kikawaida mkuu pc ni nzuri zaidi sema toka haya majanga ya Bitcoin yaje Gpu hazipatikani kabisa na ukiipata gpu ya 100,000 utauziwa 500,000.

Labda utafute laptop yenye dedicated gpu hii used angalau unaweza pata kwa bei reasonable, Fifa sio game zito sana, pc yenye low end gpu kama hizi mx series itacheza.

Otherwise nunua ps4 yenye version chini ya 9, Hack ama tafuta mtaalam ai hack kisha download tu games zako.
Shukrani mkuu...asante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Kikawaida mkuu pc ni nzuri zaidi sema toka haya majanga ya Bitcoin yaje Gpu hazipatikani kabisa na ukiipata gpu ya 100,000 utauziwa 500,000.

Labda utafute laptop yenye dedicated gpu hii used angalau unaweza pata kwa bei reasonable, Fifa sio game zito sana, pc yenye low end gpu kama hizi mx series itacheza.

Otherwise nunua ps4 yenye version chini ya 9, Hack ama tafuta mtaalam ai hack kisha download tu games zako.
Naam mkuu , hivi ukitaka PES 2021 wachezaji wacheze kwa kasi unafanyaje ?
Specification za PC ni Acer nitro Nvidia GTX 750 resolution 1080
 
Naam mkuu , hivi ukitaka PES 2021 wachezaji wacheze kwa kasi unafanyaje ?
Specification za PC ni Acer nitro Nvidia GTX 750 resolution 1080
Sijaelewa game lipo slow ama linarun vizuri tu ila unataka kuongeza speed
 
Screenshot_20220302-190422.png
 
Wakuu habari..

Nina fifa19 kwenye pc yangu..
Nimecheza kama wiki mbili fresh kabisa, saivi haifunguki kabisa . Niki"click ile link ya kufungua ina load kama ukiwa unarefresh computer afu haifunguki chochote...

Computer ni Lenovo yoga X360 core i5 6th gen.
Ram 8
SSD 256

Msaada wakuu wiki ya pili sasa sijacheza game
 
Wakuu habari..

Nina fifa19 kwenye pc yangu..
Nimecheza kama wiki mbili fresh kabisa, saivi haifunguki kabisa . Niki"click ile link ya kufungua ina load kama ukiwa unarefresh computer afu haifunguki chochote...

Computer ni Lenovo yoga X360 core i5 6th gen.
Ram 8
SSD 256

Msaada wakuu wiki ya pili sasa sijacheza game
@Chief-Mkwawa msaada mkuu
 
Wakuu habari..

Nina fifa19 kwenye pc yangu..
Nimecheza kama wiki mbili fresh kabisa, saivi haifunguki kabisa . Niki"click ile link ya kufungua ina load kama ukiwa unarefresh computer afu haifunguki chochote...

Computer ni Lenovo yoga X360 core i5 6th gen.
Ram 8
SSD 256

Msaada wakuu wiki ya pili sasa sijacheza game
Kama unayo setup toa hilo weka upya, sometime ant virus inakula Crack (kama hujanunua umechakachua)
 
Kama unayo setup toa hilo weka upya, sometime ant virus inakula Crack (kama hujanunua umechakachua)
Itabidi niangalie maana ni mtu tu aliniwekea linasoma more tha 32 gb..

Sijajua kama lina setup yake ndani
 
Itabidi niangalie maana ni mtu tu aliniwekea linasoma more tha 32 gb..

Sijajua kama lina setup yake ndani
Unaweza kumuuliza maybe setup ipo mahala fulani. Unaweza kurepair crack kama unajua ni ya nani ila process zake ni ngumu sana.
 
Unaweza kumuuliza maybe setup ipo mahala fulani. Unaweza kurepair crack kama unajua ni ya nani ila process zake ni ngumu sana.
Nimeshamuuliza, inaonekana alifanya installation tuu..

Setup yake haipo kwenye hii computer..

Naeza pata link ya fifa19 au hata pes 2017 ambaya iko cracked ni download mwenyewe.
RReigns Chief-Mkwawa
 
kama una app ya telegram search chanel "pcgames" kuna game nyinginezo pia nyingi sana.
 
Back
Top Bottom