Mtaalamu Mimi nna Lenovo core i7 4800hq GTX 860m vram 4gb ram 16.naweza cheza Fifa 23Uhakika ni pes 13 na fifa 14.
Mara ya mwisho nilicheza fifa/pes 19 kwenye gen ya 4, ila inabidi utweak sana kupata perfomance nzuri.
860M inasukuma fifa bila shida,Mtaalamu Mimi nna Lenovo core i7 4800hq GTX 860m vram 4gb ram 16.naweza cheza Fifa 23
YeahUko Dar?
SawaPoa ukifanikiwa unicheki mkuu nije nikopy kama nikiwa bado sijafakiwa.
Vp career kuna changes gani?
Next gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.Vp career kuna changes gani?
Unaweza kuskip Multiple matches?Next gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.
Pia kocha anahojiwa. Ukiongea vizuri ama vibaya kuna athiri molari ya team.
Pia wamerudisha wakati wa match kupata matokeo ya baadhi ya game zinazoendelea kwa kutangaza.
Training pia ipo kuongeza uwezo wa wachezaji
Kuna wachezaji wa youth academy unapewa update maendeleo yao. Ukiona wanafaa unawapandisha team ya wakubwa.
Now nipo league one na Ipswich town. Napambana wapande championship.
Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.Unaweza kuskip Multiple matches?
Hii fresh mkuu, sometime kucheza mechi 38-46 kwa msimu inaboa.Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.
Hivyo hivyo kwenye kusim match unaweza kukatisha ukaingia uwanjani kuicheza. Game inaendelea kwa muda ule ule.
Mkuu vpNext gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.
Pia kocha anahojiwa. Ukiongea vizuri ama vibaya kuna athiri molari ya team.
Pia wamerudisha wakati wa match kupata matokeo ya baadhi ya game zinazoendelea kwa kutangaza.
Training pia ipo kuongeza uwezo wa wachezaji
Kuna wachezaji wa youth academy unapewa update maendeleo yao. Ukiona wanafaa unawapandisha team ya wakubwa.
Now nipo league one na Ipswich town. Napambana wapande championship.
Hii ndo ikoje wakuu?Pia Football manager 2023 ni bure kama una account ya Amazon prime.
Hapa FIFA wametisha.Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.
Hivyo hivyo kwenye kusim match unaweza kukatisha ukaingia uwanjani kuicheza. Game inaendelea kwa muda ule ule.
Unacheza kama Manager ni text based, huchezeshi wachezaji, unahusika tu na kusimamia mazoezi, kununua wachezaji, kutengeneza mifumo etcHii ndo ikoja wakuu?