PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Mzigo nishaunyaka

IMG_20230908_190412_122.jpg

Chief-Mkwawa
 
Vp career kuna changes gani?
Next gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.

Pia kocha anahojiwa. Ukiongea vizuri ama vibaya kuna athiri molari ya team.
Pia wamerudisha wakati wa match kupata matokeo ya baadhi ya game zinazoendelea kwa kutangaza.
Training pia ipo kuongeza uwezo wa wachezaji
Kuna wachezaji wa youth academy unapewa update maendeleo yao. Ukiona wanafaa unawapandisha team ya wakubwa.

Now nipo league one na Ipswich town. Napambana wapande championship.
 

Attachments

  • 16941964047871652219948172475111.jpg
    16941964047871652219948172475111.jpg
    295 KB · Views: 10
Next gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.

Pia kocha anahojiwa. Ukiongea vizuri ama vibaya kuna athiri molari ya team.
Pia wamerudisha wakati wa match kupata matokeo ya baadhi ya game zinazoendelea kwa kutangaza.
Training pia ipo kuongeza uwezo wa wachezaji
Kuna wachezaji wa youth academy unapewa update maendeleo yao. Ukiona wanafaa unawapandisha team ya wakubwa.

Now nipo league one na Ipswich town. Napambana wapande championship.
Unaweza kuskip Multiple matches?
 
Sema kuna match nyingine unacheza unashangaa wachezaji wanakuwa wazito kufanya maamuzi. Unapiga pasi yeye anachelewa. Wanapungua kasi. Yaani wanakuwa kama wamechoka sana. Ili hali stamina inaonekana imejaa.

Yaani unapiga shuti sehemu clear kabisa ya kufunga yeye hapigi.🙌😅
 
Unaweza kuskip Multiple matches?
Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.


Hivyo hivyo kwenye kusim match unaweza kukatisha ukaingia uwanjani kuicheza. Game inaendelea kwa muda ule ule.
 
Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.


Hivyo hivyo kwenye kusim match unaweza kukatisha ukaingia uwanjani kuicheza. Game inaendelea kwa muda ule ule.
Hii fresh mkuu, sometime kucheza mechi 38-46 kwa msimu inaboa.
 
Next gen labda. Unaonyeshwa hadi mashabiki wanavyoingia uwanjani.

Pia kocha anahojiwa. Ukiongea vizuri ama vibaya kuna athiri molari ya team.
Pia wamerudisha wakati wa match kupata matokeo ya baadhi ya game zinazoendelea kwa kutangaza.
Training pia ipo kuongeza uwezo wa wachezaji
Kuna wachezaji wa youth academy unapewa update maendeleo yao. Ukiona wanafaa unawapandisha team ya wakubwa.

Now nipo league one na Ipswich town. Napambana wapande championship.
Mkuu vp
Pc yako uliifanyia update?
 
Pia maboresho mengine... Unaweza kuskip match hata kama ukiwa unaicheza. Labda unaongoza mbili unaweza kuamua kijump kwenda tu kwenye matokeo ya mwisho.


Hivyo hivyo kwenye kusim match unaweza kukatisha ukaingia uwanjani kuicheza. Game inaendelea kwa muda ule ule.
Hapa FIFA wametisha.
 
Back
Top Bottom