Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza ikakubali, angalia specs za motherboardHizi maxsun haziingii hizi intel arc
Nimekuchek dm mpwaInasemekana haiwezi kucheza kwenye rx 580
Inahitaji ray tracing kwenye amd ama dlss kwenye nvidia.
So hapa hata gtx zote hazitoboi
Hio Arc mpya ya Intel B580 nzuri mkuu 12GB Vram, cheki Reviews Zake Gamers nexus na Hardware unboxed,Mkuu nisaidie list ya gpu nzuri kwa budget ya laki 7 hadi laki 8
Now nimeziona hiz
Rx 6700xt
Na rtx 3060
Kama hiiHio Arc mpya ya Intel B580 nzuri mkuu 12GB Vram, cheki Reviews Zake Gamers nexus na Hardware unboxed,
3060 iwe 12GB, kwenye hizi games mpya inakimbiza hadi 4060.
6750Xt badala ya 6700 dollar imeshuka possible kupata 6750 yenye 12GB.
Shida nyingine alliepress zimejaa tuHio Arc mpya ya Intel B580 nzuri mkuu 12GB Vram, cheki Reviews Zake Gamers nexus na Hardware unboxed,
3060 iwe 12GB, kwenye hizi games mpya inakimbiza hadi 4060.
6750Xt badala ya 6700 dollar imeshuka possible kupata 6750 yenye 12GB.
Hata 3060 sio mbaya mkuu, Nvidia Drivers zake zipo vizuri sana.Shida nyingine alliepress zimejaa tu
Rtx 3060
Na rx 6700xt
Hizi nyingine naona hakuna kabisa
Na nyingi ni mllse. Ni manufacture wa kichina bt coz nimeshatumia bidhaa zake naiamini maana sijakutana na chamgamoto.
Poa sasa psu yangu ni watt 500Hata 3060 sio mbaya mkuu, Nvidia Drivers zake zipo vizuri sana.
500W psu sio issue, at maximum 3060 inatumia watts 170, unless una ma Hdd na ma accessory mengi kwenye desktop you will be finePoa sasa psu yangu ni watt 500
Na ina pin 8 + 6 kwa ajili ya gpu.
Vipi itasukuma. Maana naona recommend ni watt 550
Pia motherboard yangu ni pci 3.0 (japo nimeona itafanya kazi bila shida)
Ushauri mkuu kama una hardware ya kuangalia watts ngap pc inatumia tumia, kama hauna tumia hata software, ili uwe na uhakika kabisa,zipo disk 4 ndani. Na ssd jumla tano.
Sema nahisi itasukuUshauri mkuu kama una hardware ya kuangalia watts ngap pc inatumia tumia, kama hauna tumia hata software, ili uwe na uhakika kabisa,
Software tunatumia HWinfo, hardware kuna kama multiplug zina display, unaichomeka kwenye switch halafu pc unaichomeka kwenye hio multiplug ina kuonesha kiasi gani psu inatumika
View attachment 3175971
Yep, Rx 580 inakula umeme kuliko 3060.Sema nahisi itasuku
uma vzuri tu..
Maana kama hii rx 580 ni tdp 185
Itashindwaje hiyo yenye tdp 170???
Sababu haina RT, games mpya RT ni must, kwa bei hio B570 intel unapata mpya ikitoka kwenye makaratasi yake.Naona rx 5700xt 8gb
Price imeshuka sana vipi otafaa niivute au jau.
Sema umeme pin 6+8
Watt 600 required
Tdp 225
Semq nikiingia machinga naweza bahatisha psu ya watt 600.View attachment 3181910View attachment 3181911