PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Noana dogo pia analalamika hapa nyumbani nikajua Kiwango chake tu kidogo, siku hizi hawana ushindani so hawana incentive ya kuboresha hilo game lao.

UFL nalo umelijaribu?
Ww huchezi fc 25...?

Yaah yuko sahihi. Yaani angekuwa anafungwa yeye tu sawa sasa how game ni kawaida kuisha 7-5



yaani ungejaribu ukabaji sijui ukoje yaani wanakuwa wanasindikiiza sio kukaba.. unaweza muweka mcheza kuziba mbele striker anakuja mbele beki anamkwepa...


Match zinaisha na magoli kama mvua...

Yaani fifa 19 game play ni bora kuliko hii Kidogo na 23.
 
Ww huchezi fc 25...?

Yaah yuko sahihi. Yaani angekuwa anafungwa yeye tu sawa sasa how game ni kawaida kuisha 7-5



yaani ungejaribu ukabaji sijui ukoje yaani wanakuwa wanasindikiiza sio kukaba.. unaweza muweka mcheza kuziba mbele striker anakuja mbele beki anamkwepa...


Match zinaisha na magoli kama mvua...

Yaani fifa 19 game play ni bora kuliko hii Kidogo na 23.
Mi natumia pc, wao wanacheza na console, sijakaa kucheza serious kusema kweli, labda dk kadhaa ni waangalie basi.

Nataka ni download UFL game jipya la Mpira.
 
Upo sahihi nimeliona steam nikajua imetoka, kumbe ni pre order tu N tarehe haijulikani lini
Like serious au nimekosea kwenye setting??

1000081086.jpg
 
Wakuu Nina uhitaji wa motherboard ya i5 Gen 7 (LGA 1151) bajeti iwe rafiki pia.

cc Chief-Mkwawa
 
Wakuu Nina uhitaji wa motherboard ya i5 Gen 7 (LGA 1151) bajeti iwe rafiki pia.

cc Chief-Mkwawa
MOtherboard standard za Atx/itx ama hizi za Oem kama HP na dell?

Kina hp na dell waweza nunua machine ya pentium gen 6/7 chomoa cpu weka cpu yako.

Zinakua chini ya 150k

Kama unataka Standard motherboard vyema agizishia online. Naona Aliexpress kama 100k
 
MOtherboard standard za Atx/itx ama hizi za Oem kama HP na dell?

Kina hp na dell waweza nunua machine ya pentium gen 6/7 chomoa cpu weka cpu yako.

Zinakua chini ya 150k

Kama unataka Standard motherboard vyema agizishia online. Naona Aliexpress kama 100k
Shukran mkuu, naona hapa ni chache nitaagiza AliExpress.
 
Kuna H, B na Z series Z zinakua high-end na bei inachangamka zaidi B most of time ni value na H ni lowend. Ukipata hizo B sio mbaya.
H naona zipo nyingi na bei ni rafiki pia hata review nyingi.

Huananzhi h311 vhc plus Motherboard Intel LGA 2133 Unterstützung 6/7/2400 Generation DDR4 2666/3,0 MHz 32GB m.2 Sata3 USB VGA - AliExpress 7

ila Kuna hii hapa juu naona cheap na ina orders 48 na hakuna review, je ni red flag..??

Nimepata hii naona itafaa.
 
Back
Top Bottom