PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Mkuu hongera sana...nimeona hapo juu umehangaika ila mwisho umefanikiwa...

Nimeona hizo screenshots nimetamani nijumuike tena, majukumu yapo Tu.

Kupitia pc na PS4 unaona kipi Bora ni pc au PS4?
Pc kwa sasa inaiacha ps4... Hususani ukiwa una budget ya pc nzuri.

Nimecheza ps4 na pc ila mwisho nikachagua pc.

Kwanza tofauti na games inanioffer pia mambo mengine mengi.
 
Pc kwa sasa inaiacha ps4... Hususani ukiwa una budget ya pc nzuri.

Nimecheza ps4 na pc ila mwisho nikachagua pc.

Kwanza tofauti na games inanioffer pia mambo mengine mengi.
Shukrani mkuu.... Kwa laki 5 naweza pata used ya kuplay games hata 2 fc 24 au pes 24 ?
 
Yoyote mkuu....Kati ya hizo mbili...japo preferably ni PC
Laki 5 kuna route kama 3 kwa desktop

1. Nunua Machine zenye Apu za Ryzen, za 2400G ni around 250K na zenye 3400G ni kama 400K, utofauti wa perfomance baina ya hizi mbili sio mkubwa sana, hio kwa Fifa na pes zinatosha kuanzia. Huna haja ya gpu kuanzia labda kwa baadae, gharama extra ni ku upgrade ram kwenda 16GB (ram mbili za 8GB zenye speed moja)

2. Ununue machine ya intel gen ya 8, i5 ama i7 hizi around laki 4 unapata, sometime chini ya hapo, then unatafuta low profile gpu kama GT 1030, Rx 550, quadro 620 etc unaweka unacheza games.

3. Utafute workstation kama HP Z2xx series ama Dell precision, Lenovo Thinkstation etc gen ya 8 kupanda kwa hio budget unapata ama inaweza zidi kidogo halafu utafute Rx580 mbele ya safari.

Kama ndio unaanza na recomend zaidi option ya kwanza ili usichanganyikiwe mbele ya safari..

Kwa Laptop ukipata i3 ama ryzen 3 za kisasa ni bomba zaidi, kuna i3 1215U na Ryzen 5300U zote hizi zina nguvu na uwezo mzuri kiasi chake wa graphics, hii i3 nimewahi ona inatangazwa laki 7, na hio Ryzen nimeona mdau humu kanunua Laki 6, so probably ukitafuta vizuri around budget yako ukapata.

Ukikosa tafuta laptop za Ryzen 2500/3500U hizi unapata 200,000-400,000, ama tafuta Intel gen ya 8 lakini iwe na Nvidia gpu lowend kama Mx150, mx130 etc unaweza pata hio budget.
 
Yoyote mkuu....Kati ya hizo mbili...japo preferably ni PC
Chief kafafanua vizuri.

Chukua tu hizi hp 705 g4 au 705 g5
(250000- 400000)
Chukua yenye ssd itakuwa vyema. Then utatafuta external disk.
Ongeza na ram gb 8(AliExpress 40-50)

Ziada utahitaji pad(controller)

Me nimenunua AliExpress mbili moja data frog nyingine version ya ps5, zote wireless bluetooth. Ziko poa kuliko hizi pad za ps4 za hapa bongo... Hiyo data frog now ni kama 40000 tu. Hiyo nyingine 60-80
IMG_20231207_174034_185.jpg
 
Laki 5 kuna route kama 3 kwa desktop

1. Nunua Machine zenye Apu za Ryzen, za 2400G ni around 250K na zenye 3400G ni kama 400K, utofauti wa perfomance baina ya hizi mbili sio mkubwa sana, hio kwa Fifa na pes zinatosha kuanzia. Huna haja ya gpu kuanzia labda kwa baadae, gharama extra ni ku upgrade ram kwenda 16GB (ram mbili za 8GB zenye speed moja)

2. Ununue machine ya intel gen ya 8, i5 ama i7 hizi around laki 4 unapata, sometime chini ya hapo, then unatafuta low profile gpu kama GT 1030, Rx 550, quadro 620 etc unaweka unacheza games.

3. Utafute workstation kama HP Z2xx series ama Dell precision, Lenovo Thinkstation etc gen ya 8 kupanda kwa hio budget unapata ama inaweza zidi kidogo halafu utafute Rx580 mbele ya safari.

Kama ndio unaanza na recomend zaidi option ya kwanza ili usichanganyikiwe mbele ya safari..

Kwa Laptop ukipata i3 ama ryzen 3 za kisasa ni bomba zaidi, kuna i3 1215U na Ryzen 5300U zote hizi zina nguvu na uwezo mzuri kiasi chake wa graphics, hii i3 nimewahi ona inatangazwa laki 7, na hio Ryzen nimeona mdau humu kanunua Laki 6, so probably ukitafuta vizuri around budget yako ukapata.

Ukikosa tafuta laptop za Ryzen 2500/3500U hizi unapata 200,000-400,000, ama tafuta Intel gen ya 8 lakini iwe na Nvidia gpu lowend kama Mx150, mx130 etc unaweza pata hio budget.
Asante sana chief kwa elimu hii....shukrani kwa kunipa range ya bei pia....nilikuwa na Mali nzuri ikaibiwa ngoja nitafute hizi recommendation zako mkuu...ubarikiwe Sana.
 
Chief kafafanua vizuri.

Chukua tu hizi hp 705 g4 au 705 g5
(250000- 400000)
Chukua yenye ssd itakuwa vyema. Then utatafuta external disk.
Ongeza na ram gb 8(AliExpress 40-50)

Ziada utahitaji pad(controller)

Me nimenunua AliExpress mbili moja data frog nyingine version ya ps5, zote wireless bluetooth. Ziko poa kuliko hizi pad za ps4 za hapa bongo... Hiyo data frog now ni kama 40000 tu. Hiyo nyingine 60-80 View attachment 2959204
Pad nzuri sana hizi, zinakaa vizuri mkononi na zinadumu sana mkuu...shukrani pia kwa ushauri wa pc nzuri ya kuanza nayo...kumbe nikitulia napata Mali nzuri tu
 
Wadau nipo Dar es Salaam, kama unagames lolote unalohitaji, lipo ofisini namaanisha Pc Games, wifi ipo hivyo kabla ya kuja unaweza nipa list ya games unazohitaji nikakudownloadia.

Nilizonazo mpaka sasa.

Fifa 19
fifa 14 patch 2020
Pes 2017 patch 2024
Far Cry
Forzan herzon
Gta 5
Walking Dead
Transformer
Spider man
Need for spees playback
Need for speed 2012.

Karibuni
 
Sijacheza online FC24 sana, sema kuna dogo Anacheza hapa anapigwa kweli
Yaani inabidi uwe mzuri nawe kwenye kuscore vinginevyo utachezea sana..

L1 ndio kuprotect ball. Sasa fikiria huo mpangilio wa vidole vyako...

Sasa muda huo huo ushike R1 sprint. The unatakiwa ufanye tackling kwa x au Box.
Wakati huo huo kuna muda inakiwa ubadilishe pia mkabaji kwa L2
Bila kusahau unapaswa kutumia direction muda huo hup.🙌🤣🤣🤣

Kwenye discussion wengi sana wanalalama wanasema labda uwe na mikono mitatu.

Yaani online unachofanya ni kushindana kuscore na kutumia nafasi. Maana kuzuia ni kipengele
 
Wadau nipo Dar es Salaam, kama unagames lolote unalohitaji, lipo ofisini namaanisha Pc Games, wifi ipo hivyo kabla ya kuja unaweza nipa list ya games unazohitaji nikakudownloadia.

Nilizonazo mpaka sasa.

Fifa 19
fifa 14 patch 2020
Pes 2017 patch 2024
Far Cry
Forzan herzon
Gta 5
Walking Dead
Transformer
Spider man
Need for spees playback
Need for speed 2012.

Karibuni
Weka namba Mimi nahitaji kwelikweli ofisi ziko wap mzee
 
Wadau nipo Dar es Salaam, kama unagames lolote unalohitaji, lipo ofisini namaanisha Pc Games, wifi ipo hivyo kabla ya kuja unaweza nipa list ya games unazohitaji nikakudownloadia.

Nilizonazo mpaka sasa.

Fifa 19
fifa 14 patch 2020
Pes 2017 patch 2024
Far Cry
Forzan herzon
Gta 5
Walking Dead
Transformer
Spider man
Need for spees playback
Need for speed 2012.

Karibuni
Pes 2019 ofisi ziko wap mzee
 
Nahitaji pes 17 patch 24 mkuu, vipi utanipa kwa pesa ngapi au unasambaza upendo mkuu ya soda
Wadau nipo Dar es Salaam, kama unagames lolote unalohitaji, lipo ofisini namaanisha Pc Games, wifi ipo hivyo kabla ya kuja unaweza nipa list ya games unazohitaji nikakudownloadia.

Nilizonazo mpaka sasa.

Fifa 19
fifa 14 patch 2020
Pes 2017 patch 2024
Far Cry
Forzan herzon
Gta 5
Walking Dead
Transformer
Spider man
Need for spees playback
Need for speed 2012.

Karibuni
 
Back
Top Bottom