Pesa haziokotwi! Mpira wetu bado haulipi kihivyo. Mo kakata moto, GSM anajuta

Kwaio ulifukuzwa home?
Nkiwa na miaka 20 mzee akasema niondoke kwake nikajitegemee, nikamuuliza nuende wapi na hapa ndio nimezaluwa,yeye ndio alitakiwa aondoke aende kwao jijijini.m wisho wa siku akashinda ugomvi nikasepa
 
Offcourse Viongozi wengi wa hizi timu Njaa tupu wapo kimaslahi hawa jamaa wa3 wanatuheshimisha sana …Msimu ujao bongo kuna VAR tutakua na ligi nzuri sana
 
Marekani sio MATOMBO? Mkuu ipe heshima yake Matombo!
 
We acha ujinga GSM hajawahi kutumia hela yake
Hizo anazotumia ni pesa zilizochotwa benki wakati wa Singa Singa na Luge
 
Kiukweli hii ligi ya kununua mchezaji kwa milioni 400 wala kulipa mchezaji milioni kumi kwa mwezi.
 
Bajeti ya simba ni bilioni 3 sijui 2 kwa mwaka kama sikosei.. Huu udhamini na mbet nasikia mnono ni B, bado pesa za caf ni B, jezi ni B, za ligi m300, si haba wanaweza jimudu, wakiwa wajanja kwenye biashara za kuuza na kununua basi wanaweza jiendesha, shida timu zetu wajanja wengi, wanataka shida zao ziishie hapo hapo.

Hata yanga wanaweza kujiendesha kama viongozi wakituliza vichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…