Anamaanisha amekomesha Rushwa ndani ya serikali yake Ila huko ccm bado haijafika huko kupambana nayo. Tusubiri Ila huko ni pagumbu kupambana na Rushwa,Kati ya vinara ndani ya CCM waliotoa rushwa kwenye uchaguzi wa Kura za maoni wanao ongoza ni prof. Muhongo, sajini,ole sendeka, Dr mathayo David, aliye kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Dr molel na agrey mwandri wa siha, sashisha wa hai, Ibrahim shayo na priscus wa moshi mjini, fred lowasa wa monduli, mnyeti hapa misungwi,kurwa biteko ,marium kaaya katibu wa CCM Kule Moshi vijijini, na weng.