Pesa ilikuwa ndiyo sifa ya kwanza kwenye kura za maoni CCM

Hakuna wakati wagombea wa CCM wamejikita kwenye utoaji wa rushwa Kama uchaguzi huu.wajumbe wa CCM hawataki sera za wagombea wanataka fedha tu.mengine mtakutana October. Wajumbe? Wajumbe? Wajumbe? Acha kabisa
 
Inasikitisha sana.
 
Aliye vaa viatu ndio anajua kiatu kimebana wapi usiongee bila uhalisia,kuna watu wengi sana wamejitoa katika kushirikiana jamii katika kazi nyingi tena wengine ni viongozi ndani ya jamii zao but wakipigwa chini.
Kule ilikuwa ni fedha pasipo fedha huwezi penyeza hata kidogo.
 
Si huwa wanasema mh rais amekomesha vitendo vya rushwa, au huwa wanamaanisha rushwa ipi ?
 
Hivi Obama wakati anagombea alikuwa tajiri kama au kumzidi Donald Trump ?
 
Mtoa mada umeleta mada nzuri lakini uwasilishaji wake hauko sawa. Imeshahukumu na hiyo si sawa. Toa mifano halisi kuliko kuonesha kuwa hali ndio ilikuwa hivyo Kila sehemu.

Jenga hoja vizuri ili iweze kushughulikiwa. Serikali hii inachukia rushwa kwa vitendo
 
Si huwa wanasema mh rais amekomesha vitendo vya rushwa, au huwa wanamaanisha rushwa ipi ?
Anamaanisha amekomesha Rushwa ndani ya serikali yake Ila huko ccm bado haijafika huko kupambana nayo. Tusubiri Ila huko ni pagumbu kupambana na Rushwa,Kati ya vinara ndani ya CCM waliotoa rushwa kwenye uchaguzi wa Kura za maoni wanao ongoza ni prof. Muhongo, sajini,ole sendeka, Dr mathayo David, aliye kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Dr molel na agrey mwandri wa siha, sashisha wa hai, Ibrahim shayo na priscus wa moshi mjini, fred lowasa wa monduli, mnyeti hapa misungwi,kurwa biteko ,marium kaaya katibu wa CCM Kule Moshi vijijini, na weng.
 
Hata Pr Muhongo anafanya mambo kwa kutegemea rushwa ?
 
Kiukweli rushwa imeenda km kawaida, mfumo wa wajumbe kuongeka rahisi na wanadhibitika, kuondokana na janga ili, mfumo wa wanachama wote kushiriki kura za maoni ndio ilikuwa busara.
Naamini rufaa zitakuwepo wakishutumiana, na hata takukuru ni binadamu, wanaowafeva uwaachia tu waongane! Tuna tatizo kuletewa wagombea waliowashibisha wao uenda wasiwe na ushawishi kwa wananchi, kazi itaanza hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…