Pesa imeshika hatamu kuliko upendo wa kweli

Pesa imeshika hatamu kuliko upendo wa kweli

Hii ni kotekote, upande ke na upande me huingia penzini kimasilahi hivyo inachangia sana mahusiano yatawaliwe na ugomvi na ndoa kutokuwa na amani, sababu mtu anaingia penzini akitarajia kitu fulani akikikosa ndipo anafungua makucha au akishakipata ndipo hufungua makucha.

Shetani kasimama kidete kwenye pesa. Pesa ni shetani ingawa bila pesa bado hatujaishi.

Mungu tusaidie🙏
kiufup vijana tupambane sana kutafta pesa ukwenj hawataki elimu
 
Siku hiz hakuna mapenz madada wanaboa kichz mmeonana Leo Leo mazungumzo kidogo, umependeza bint ningependa kuzungumza na wewe kidogo utaskia afu Leo sijala mara sina bandoo, shitttt hii inaua vibe Sana.. Kwanza mamb ya kishamba me najua unahitaj huduma izo zote ila ndo kwa utaratibu huu? nyokoo nenda kajipange Camp Joint kibadaa uko upate ela ya Kula na kifurush
 
Siku hiz hakuna mapenz madada wanaboa kichz mmeonana Leo Leo mazungumzo kidogo, umependeza bint ningependa kuzungumza na wewe kidogo utaskia afu Leo sijala mara sina bandoo, shitttt hii inaua vibe Sana.. Kwanza mamb ya kishamba me najua unahitaj huduma izo zote ila ndo kwa utaratibu huu? nyokoo nenda kajipange Camp Joint kibadaa uko upate ela ya Kula na kifurush
🤣🤣Ndo dawa yenu
 
Siku hiz hakuna mapenz madada wanaboa kichz mmeonana Leo Leo mazungumzo kidogo, umependeza bint ningependa kuzungumza na wewe kidogo utaskia afu Leo sijala mara sina bandoo, shitttt hii inaua vibe Sana.. Kwanza mamb ya kishamba me najua unahitaj huduma izo zote ila ndo kwa utaratibu huu? nyokoo nenda kajipange Camp Joint kibadaa uko upate ela ya Kula na kifurush
🤣aisee
 
Na hii inakuja baada ya watu kutanguliza hicho ulichokisemq maana shetan anajuwa pa kuanzia ila MUNGU wetu ni mwaminifu sna tena sana. tumtegemee yeye pekeyake na hakika majibu hutoka kweke toka zaman zile za mussa na akina daudi na wengine wengi kama akina danieli na kadhalika jamni mi nawaambia kwamba onjeni muone kwamba mungu ni mwema mwanamke akiwa na mungu ana mwamaume akiwa na mungu ni salama kwa familia yote na jamii yetu kwa ujumla hakika asanteni.
 
Na hii inakuja baada ya watu kutanguliza hicho ulichokisemq maana shetan anajuwa pa kuanzia ila MUNGU wetu ni mwaminifu sna tena sana. tumtegemee yeye pekeyake na hakika majibu hutoka kweke toka zaman zile za mussa na akina daudi na wengine wengi kama akina danieli na kadhalika jamni mi nawaambia kwamba onjeni muone kwamba mungu ni mwema mwanamke akiwa na mungu ana mwamaume akiwa na mungu ni salama kwa familia yote na jamii yetu kwa ujumla hakika asanteni.
Kabisa mkuu
 
Hii ni kotekote, upande ke na upande me huingia penzini kimasilahi hivyo inachangia sana mahusiano yatawaliwe na ugomvi na ndoa kutokuwa na amani, sababu mtu anaingia penzini akitarajia kitu fulani akikikosa ndipo anafungua makucha au akishakipata ndipo hufungua makucha.

Shetani kasimama kidete kwenye pesa. Pesa ni shetani ingawa bila pesa bado hatujaishi.

Mungu tusaidie🙏
Kila mtu anafuata kitu..!! Iwe pesa au vileleeeeee...!!
 
Siku hiz hakuna mapenz madada wanaboa kichz mmeonana Leo Leo mazungumzo kidogo, umependeza bint ningependa kuzungumza na wewe kidogo utaskia afu Leo sijala mara sina bandoo, shitttt hii inaua vibe Sana.. Kwanza mamb ya kishamba me najua unahitaj huduma izo zote ila ndo kwa utaratibu huu? nyokoo nenda kajipange Camp Joint kibadaa uko upate ela ya Kula na kifurush
😂😂😂😂😂😷
 
Back
Top Bottom