Pesa na Vifaa vyaibwa Manzese

Pesa na Vifaa vyaibwa Manzese

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Rafiki yangu anaefanya biashara ya wakala wa pesa mtandao yaani Mobile Banking. Mpesa, TigoPesa, Airtel Money n.k, amenipigia simu asubuhi hii na kunijulisha kuwa, Wameibiwa usiku wa kuamkia leo. Maduka matatu yaliopo eneo moja yote yamefunguliwa na kuibiwa kila kitu.

Eneo lenyewe liko Manzese karibia na na baa ya Mkwere , kwenye ile barabara ya kuelekea Tandale.

Analia sana na hajui afanyeje maana mtaji wote ndio huo umeenda.

Tuongeze umakini na ulinzi binafsi.
 
Acha uzuzu wewe working class, nchi inahitaji tuishi kwa mujibu wa kisheria, vigilant na hizi kangaroos court ni NO, nchi Ina mahakama na ndizo zenye haki ya kuhukumu, yes wizi ni mbaya ila tuepuke wananchi kujichukulia sheria mikononi,
Sahihi kabisa Chief
 
Rafiki yangu anaefanya biashara ya wakala wa pesa mtandao yaani Mobile Banking. Mpesa, TigoPesa, Airtel Money n.k, amenipigia simu asubuhi hii na kunijulisha kuwa, Wameibiwa usiku wa kuamkia leo. Maduka matatu yaliopo eneo moja yote yamefunguliwa na kuibiwa kila kitu.

Eneo lenyewe liko Manzese karibia na na baa ya Mkwere , kwenye ile barabara ya kuelekea Tandale.

Analia sana na hajui afanyeje maana mtaji wote ndio huo umeenda.

Tuongeze umakini na ulinzi binafsi.
da!!!!!....mtamkumbuka mwenda zake!!! alikomesha mambo ya hovyo kama haya!!
 
Acha uzuzu wewe working class, nchi inahitaji tuishi kwa mujibu wa kisheria, vigilant na hizi kangaroos court ni NO, nchi Ina mahakama na ndizo zenye haki ya kuhukumu, yes wizi ni mbaya ila tuepuke wananchi kujichukulia sheria mikononi,
Sawa ngoja Tuendelee kuishi kwa mujibu wa sheria na wezi.

Ila mimi binafsi nasema asiyejali haki ya mwenzie hastahili kupewa haki yoyote.

Tizama Leo wezi wamemsababishia huyu mtu umasikini yeye na familia yake, aisee kifo ni suruhisho bora kwa hawa washenzi
 
Pole, jipe moyo, hawajakukata mikono, Anza upya, hakuna kukata tamaa. Omba tu uzima.
 
Sawa ngoja Tuendelee kuishi kwa mujibu wa sheria na wezi.

Ila mimi binafsi nasema asiyejali haki ya mwenzie hastahili kupewa haki yoyote.

Tizama Leo wezi wamemsababishia huyu mtu umasikini yeye na familia yake, aisee kifo ni suruhisho bora kwa hawa washenzi
Mkuu ninaelewa hii ndio maana tukajiwekea utaratibu wa kuishi kisheria, mtoto wako anapokua mwizi ndani ya familia yako unataka kuniambia utamuua?,tatizo la middle class wetu politicians wetu wamewajua mnapenda mihemko na short cut, politicians na police ndio hii bucket inaishia mlangoni mwao, muulize mtoa hoja je police walienda pale kukusanya vielelezo vya kusaidia uchunguzi?,je foresinc investigators walifika pale ku pick up finger prints?mkuu bado tunaishi in a shithole country nawe usiishi ki zuzu
 
Sahihi kabisa Chief
Ahsante kwa kunielewa, tumuulize mtoa hoja je police walifika pale kukusanya ushahidi wa kuwatafuta wahusika?je aliona foresinc wakichukua evidence pale?je eye witness waliulizwa chochote kama waliona wizi ule?,je walienda kuangalia tukio lile kwenye cctv?,serikali ya CCM isiturudishe kwenye ujima wa kuanza kujichukulia sheria mkononi, hii ni criminality let's say NO kujichukulia sheria mkononi
 
Back
Top Bottom