dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha, dahtupu ya nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, dahtupu ya nyuma
Pole kwako na rafiki yako ILA pole hii haitarudisha vilivyoibiwa, je police wana taarifa?,baada ya wizi kugundulika asubuhi hii je mlilinda hiyo crime scene ili is iwe contaminated?,je Polisi wameshafika hapo na kuangalia cctv kama zinaweza saidia kuwapata wahusika?,hii ni police case wao ndio watoe majibu sahihi kwa mhusika ni haki yakeRafiki yangu anaefanya biashara ya wakala wa pesa mtandao yaani Mobile Banking. Mpesa, TigoPesa, Airtel Money n.k, amenipigia simu asubuhi hii na kunijulisha kuwa, Wameibiwa usiku wa kuamkia leo. Maduka matatu yaliopo eneo moja yote yamefunguliwa na kuibiwa kila kitu.
Eneo lenyewe liko Manzese karibia na na baa ya Mkwere , kwenye ile barabara ya kuelekea Tandale.
Analia sana na hajui afanyeje maana mtaji wote ndio huo umeenda.
Tuongeze umakini na ulinzi binafsi.
Mkuu shirikisha ubongo wako, sijasema tuishi na wezi, tunatakiwa tuishi kisheria, working class wewe hutambui kuwa kapu hili linaishia police wao ndio wanatakiwa Kuja na majibu sahihi hapa,eneo la biashara ni LAZIMA cctv zifungwe mkuu unajua hili?,kila kituo cha police kinatakiwa kiwe na foresinc investigators SIO na sio ffu wa kukimbizana na wapinzani wa Chama dolaSawa ngoja Tuendelee kuishi kwa mujibu wa sheria na wezi.
Ila mimi binafsi nasema asiyejali haki ya mwenzie hastahili kupewa haki yoyote.
Tizama Leo wezi wamemsababishia huyu mtu umasikini yeye na familia yake, aisee kifo ni suruhisho bora kwa hawa washenzi
Kwa bahati mbaya sana hapa bongo tukio likishafanyika watu wanajaa kwa wingi mno.Pole kwako na rafiki yako ILA pole hii haitarudisha vilivyoibiwa, je police wana taarifa?,baada ya wizi kugundulika asubuhi hii je mlilinda hiyo crime scene ili is iwe contaminated?,je Polisi wameshafika hapo na kuangalia cctv kama zinaweza saidia kuwapata wahusika?,hii ni police case wao ndio watoe majibu sahihi kwa mhusika ni haki yake
Kwaiyo upo tayari kufuga jizi kwakuwa ni mwanaoMkuu ninaelewa hii ndio maana tukajiwekea utaratibu wa kuishi kisheria, mtoto wako anapokua mwizi ndani ya familia yako unataka kuniambia utamuua?,tatizo la middle class wetu politicians wetu wamewajua mnapenda mihemko na short cut, politicians na police ndio hii bucket inaishia mlangoni mwao, muulize mtoa hoja je police walienda pale kukusanya vielelezo vya kusaidia uchunguzi?,je foresinc investigators walifika pale ku pick up finger prints?mkuu bado tunaishi in a shithole country nawe usiishi ki zuzu
Yeye alikomesha kwa kuwaruhusu wanyonge wafanye biashara ndogo dongo sasa huyu Mama kakurupuka kuwaondoa kwa pupa ndiyo madhara yake hayada!!!!!....mtamkumbuka mwenda zake!!! alikomesha mambo ya hovyo kama haya!!
Kwani Mafisadi wanao achwa wao hawasababishi umasikini kwa jamii?Sawa ngoja Tuendelee kuishi kwa mujibu wa sheria na wezi.
Ila mimi binafsi nasema asiyejali haki ya mwenzie hastahili kupewa haki yoyote.
Tizama Leo wezi wamemsababishia huyu mtu umasikini yeye na familia yake, aisee kifo ni suruhisho bora kwa hawa washenzi
Ni upumbavu kuacha pesa dukani kwa maduka yetu haya.Pole, jipe moyo, hawajakukata mikono, Anza upya, hakuna kukata tamaa. Omba tu uzima.
Ni kujiongeza tu, ni bora ulipe ten mzigo ulale mahali salamaSheria ya biashara ya mobile money inawataka wafanyabiashara waaziache hela dukani kuepuka kuporwa njiani.